Recent content by Orara Beach

  1. O

    Sababu za kutumbuliwa aliyekuwa Katibu Mkuu Nishati na Madini

    Bwana Eli 91 wewe ndo hujaelewa ana maana asilimia tisini ya dhahabu iliopaswa kuwa extracted
  2. O

    Ikiwa ni kweli mkuu wa mkoa wa Dar ameidharau tume ya Nape sasa atakuwa kafika mbali!

    Napenda kujua utaratibu unaotakikana kufuatwa ili uweze kumhoji mkuu wa mkoa yeyote Tanzania
  3. O

    Mkakati wa Zambi na Mulugo kupinga mabadiliko ya Katiba ya CCM (mtu mmoja, cheo kimoja) wafichuka

    Swali Kama cheo kimoja mtu mmoja itakuwaje kwa raisi hata kuwa tena mwenyekiti?
  4. O

    Elimu ya juu huleta umasikini

    Lakini naomba kuuliza wasomi wengi wenye elimu kuanzia masters na kuendelea si wanazichukua nje ya Tanzania? Je usomi wao nje ya nchi umeleta utofauti na wale walio soma ndani ya nchi? Majibu pls
  5. O

    Ubutu wa Primera Liga waanza kuthibitika

    Waingereza tunapenda ligi yao kwakuwa walitutawala ndo maana.
Back
Top Bottom