Recent content by option

  1. O

    Wafanyabiashara wanaochukia wachina kujaa ni Wabaguzi waliojaa tamaa, Wachina wako poa sana muwaache watupe nafuu ya maisha, Tumechoka kupigwa

    Kuna bidhaa nlienda nunua kariakoo tofauti ya bei kati ya mswahili na mchina ilikua 150k nliogopa sana
  2. O

    Bei ya gesi ya kupikia kupungua bei ili kuchochea Matumizi ya Nishati Safi

    Hii gesi ya elopiji nasikia inatoka nje kama mafuta ya mtwara inaenda nje
  3. O

    Kuna anayejua sababu za Yanga kahama uwanja wa Azam Complex?

    Wanaojua sababu za yanga kuhama uwanja wa azam complex ni yanga wenyewe, mara nyingi azam wamekua wakisema uwanja upo kwene matengenezo mechi zikikaribia, sasa hivi wamepewa muda wa kutosha kupisha hayo matengenezo yao.
  4. O

    Wazee wa Simba kuanika majina ya Mawaziri waliohujumu Dabi ya Kariakoo

    walisema timu inapiga kimoko mbona nao wamepigwa kimoko wanalalamika?
  5. O

    Hivi Mo dewji anamwaga mabilioni ya Usajili Kigwangala huwa anakuwa wapi?

    Anasubiri nyie mmalize kwanza yeye apige mshino
  6. O

    KERO Usafiri wa Mwendokasi umekuwa kituko na aibu kwa nchi dhidi ya wageni!

    Kwa hiyo unashauri watu waende makazini mchana? Na jioni wasirudi kuepuka huo usumbufu?. Usichokijua mchana unaweza subiri gari lisaa usipate usafiri. Huu usafiri ni wa kiwaki.
  7. O

    Mtazamo wangu: Arsenal atamaliza bila taji msimu wa 2023/24

    Taratibu wanapunguzwa
  8. O

    Mnapojadili kuwa Yanga kaonewa mjadili pia ubovu wa Yanga kwenye upigaji wa penati

    We fala hao mbwa wako hawakutakiwa wafike hatua ya matuta
  9. O

    Kwa hili la kuwasafirisha Yanga, natofautiana na Serikali

    Hii keki ya taifa kila mtu atakula kwa muda wake
Back
Top Bottom