Wanaojua sababu za yanga kuhama uwanja wa azam complex ni yanga wenyewe, mara nyingi azam wamekua wakisema uwanja upo kwene matengenezo mechi zikikaribia, sasa hivi wamepewa muda wa kutosha kupisha hayo matengenezo yao.
Kwa hiyo unashauri watu waende makazini mchana? Na jioni wasirudi kuepuka huo usumbufu?. Usichokijua mchana unaweza subiri gari lisaa usipate usafiri. Huu usafiri ni wa kiwaki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.