Recent content by Optimists

  1. Optimists

    JamiiForums Tanzania Hii ndio biashara ya kufanya Kwa kijana anayetaka kufanikiwa/kuongeza kipato.

    Yeah Kuna podcast Moja YouTube mama yupo mwanza alianza na mbuzi 60 Sasa anao 400 na hajawai kutafuta mteja wateja Kila siku wanaongozana kwenda shambani kwake.
  2. Optimists

    JamiiForums Tanzania Hii ndio biashara ya kufanya Kwa kijana anayetaka kufanikiwa/kuongeza kipato.

    Nimeshauri vitu nilivyofanya, labda na wewe uoneshe uwezo wako mkubwa wa kufikiri Kwa kutoa point yako
  3. Optimists

    JamiiForums Tanzania Hii ndio biashara ya kufanya Kwa kijana anayetaka kufanikiwa/kuongeza kipato.

    Wazo no 2, tafuta eneo chagua mbuzi au ng'ombe depend na mawazo yako au interest zako chukua mbuzi 20 au 30 then fuga kisasa, tafuta formula then unenepeshe, utakuwa unafanya mzunguko Kwa miezi mitatu mitatu, tofauti na hapo kajichanganye kutafuta Frame moto utauona, nimeshauri vitu nilivyofanya...
  4. Optimists

    JamiiForums Tanzania Hii ndio biashara ya kufanya Kwa kijana anayetaka kufanikiwa/kuongeza kipato.

    ukiwa na mtaji chini ya million 20 usijichanganye kwenye biashara za muonekano ambazo, taka, frame, TRA, manispaa, ulinzi n.k wote wanakuangalia wewe, na hii era tunayoenda nayo ndio basi tena, Kwa miaka ya Sasa mtaji wa 5M -10M ukiikimbiza kwenye frame labda uwe na rare skills ambazo watu...
  5. Optimists

    JamiiForums Tanzania Acha kuuza mchanganyiko unapoteza muda, akili na Pesa zako, shtuka

    Uzi mzuri controla. Lakini naona ulichokiongea kinafaa eneo Moja tu, kariakoo huko mtu anaingiza contena Moja tu la boxer au t-shirt vipi uku porini? Kigoma nilijaribu kuuza cadet tu nikapigwa knockout za hatari
  6. Optimists

    JamiiForums Tanzania FT: England 2-1 D.R. Congo | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | Julai 1, 2026 | 1:00 Usiku

    Kwa anayejua kwanini uwanjani seat nyingi ziko wazi alafu ni game kubwa
  7. Optimists

    JamiiForums Tanzania Nawaonea sana huruma vijana na wanaotaka kuanza biashara maana, sehemu nzuri za biashara zimeshaisha

    Nimetoa wazo hapo juu, kijana akiwa na huo mtaji ni vyema aanze na umachinga na kuzunguka minadani akuze mtaji na experience, akishakuwa vizuri ndio aje na uwezo wa kumuhamisha mtu sehemu potential, pia uwezo wa kulipia kiremba.
  8. Optimists

    JamiiForums Tanzania Nawaonea sana huruma vijana na wanaotaka kuanza biashara maana, sehemu nzuri za biashara zimeshaisha

    Haha Sasa brother umeandika watu kila siku wanaingia kariakoo. Lakini hujaandika wanaokimbia na kuacha frame kila siku, Iko ivi ni vyema ungetoa mchanganuo una million 10 utafute frame wapi kariakoo, mbezi, mbagala, g,mboto nambie utapata wapi palipochangamka? Kila sehemu ipo saturated mno...
  9. Optimists

    JamiiForums Tanzania Nawaonea sana huruma vijana na wanaotaka kuanza biashara maana, sehemu nzuri za biashara zimeshaisha

    Ni vyema ungetoa mawazo, million 10 kariako utaenda kufanya nini brother
  10. Optimists

    JamiiForums Tanzania Nawaonea sana huruma vijana na wanaotaka kuanza biashara maana, sehemu nzuri za biashara zimeshaisha

    Atafirisika TU, huwezi kwenda pembezoni , nje kabisa ya center then useme utafanya biashara uko? Inawezekanaje
  11. Optimists

    JamiiForums Tanzania Nawaonea sana huruma vijana na wanaotaka kuanza biashara maana, sehemu nzuri za biashara zimeshaisha

    Sawa, tuone intelligence yako kupitia maandishi Yako, unadhani sehemu zenye ushindani utapata Frame ya laki 1 Kwa mwezi?
  12. Optimists

    JamiiForums Tanzania Nawaonea sana huruma vijana na wanaotaka kuanza biashara maana, sehemu nzuri za biashara zimeshaisha

    Sehemu nzuri zipo, je Kwa kijana au mtu mwenye mtaji mdogo anawezaje kukaa na Kodi ni kubwa?
  13. Optimists

    JamiiForums Tanzania Mkazi wa Manzese Mohamed Mgomvi: Polisi Mkisikia nyumba ya mtu imechomwa moto msilaumu. Nishakata mpaka watu miguu. Wapinzani wananijua

    Yeah ni kawaida TU, Mimi nadhani watawala wamefanikiwa mno, kitabu kimoja na recommend mkasome kinaitwa art of war by sun tzu, Iko ivi wamefanikiwa kuwatenganisha na kuwagombanisha watu ili waendelee kutawala, yaani unachukua wachache kutoka kwenye jamii yenye njaa, unawapa pesa wagombane na...
Back
Top Bottom