Recent content by Optimists

  1. Optimists

    JamiiForums Tanzania Ng'ombe wa maziwa au bajaj used ipi option nzuri? Changamoto zake

    Thanks umemaliza
  2. Optimists

    JamiiForums Tanzania Ng'ombe wa maziwa au bajaj used ipi option nzuri? Changamoto zake

    Hii nimeichukua, nafanya research zaidi Kwa waliofanikiwa nilipo majani sio issue sana
  3. Optimists

    JamiiForums Tanzania Ng'ombe wa maziwa au bajaj used ipi option nzuri? Changamoto zake

    Naenda na ng'ombe pork usabatoni wataniua
  4. Optimists

    JamiiForums Tanzania Ng'ombe wa maziwa au bajaj used ipi option nzuri? Changamoto zake

    Nimeichukua hii. But Kwa huo mtaji nitaweza kupata ng'ombe? Au niendelee kufanya research?
  5. Optimists

    JamiiForums Tanzania Ng'ombe wa maziwa au bajaj used ipi option nzuri? Changamoto zake

    Nipo kwenye mchakato wa kugawa pesa katika miradi midogo midogo, nione namna ya kufikia uchumi wa Kati Kwa makusanyo ya tsh 100,000/= Kwa siku na kuzidi, hii miradi ambayo nataka mtaji wake usizidi million 4-5 pia inipatie only 20,000/= per day Nimechakata mawazo mengi nikaona nikimbie uchumia...
  6. Optimists

    JamiiForums Tanzania Hii ndio biashara ya kufanya Kwa kijana anayetaka kufanikiwa/kuongeza kipato.

    Yeah Kuna podcast Moja YouTube mama yupo mwanza alianza na mbuzi 60 Sasa anao 400 na hajawai kutafuta mteja wateja Kila siku wanaongozana kwenda shambani kwake.
  7. Optimists

    JamiiForums Tanzania Hii ndio biashara ya kufanya Kwa kijana anayetaka kufanikiwa/kuongeza kipato.

    Nimeshauri vitu nilivyofanya, labda na wewe uoneshe uwezo wako mkubwa wa kufikiri Kwa kutoa point yako
  8. Optimists

    JamiiForums Tanzania Hii ndio biashara ya kufanya Kwa kijana anayetaka kufanikiwa/kuongeza kipato.

    Wazo no 2, tafuta eneo chagua mbuzi au ng'ombe depend na mawazo yako au interest zako chukua mbuzi 20 au 30 then fuga kisasa, tafuta formula then unenepeshe, utakuwa unafanya mzunguko Kwa miezi mitatu mitatu, tofauti na hapo kajichanganye kutafuta Frame moto utauona, nimeshauri vitu nilivyofanya...
  9. Optimists

    JamiiForums Tanzania Hii ndio biashara ya kufanya Kwa kijana anayetaka kufanikiwa/kuongeza kipato.

    ukiwa na mtaji chini ya million 20 usijichanganye kwenye biashara za muonekano ambazo, taka, frame, TRA, manispaa, ulinzi n.k wote wanakuangalia wewe, na hii era tunayoenda nayo ndio basi tena, Kwa miaka ya Sasa mtaji wa 5M -10M ukiikimbiza kwenye frame labda uwe na rare skills ambazo watu...
  10. Optimists

    JamiiForums Tanzania Acha kuuza mchanganyiko unapoteza muda, akili na Pesa zako, shtuka

    Uzi mzuri controla. Lakini naona ulichokiongea kinafaa eneo Moja tu, kariakoo huko mtu anaingiza contena Moja tu la boxer au t-shirt vipi uku porini? Kigoma nilijaribu kuuza cadet tu nikapigwa knockout za hatari
  11. Optimists

    JamiiForums Tanzania FT: England 2-1 D.R. Congo | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | Julai 1, 2026 | 1:00 Usiku

    Kwa anayejua kwanini uwanjani seat nyingi ziko wazi alafu ni game kubwa
  12. Optimists

    JamiiForums Tanzania Nawaonea sana huruma vijana na wanaotaka kuanza biashara maana, sehemu nzuri za biashara zimeshaisha

    Nimetoa wazo hapo juu, kijana akiwa na huo mtaji ni vyema aanze na umachinga na kuzunguka minadani akuze mtaji na experience, akishakuwa vizuri ndio aje na uwezo wa kumuhamisha mtu sehemu potential, pia uwezo wa kulipia kiremba.
Back
Top Bottom