Yeah Kuna podcast Moja YouTube mama yupo mwanza alianza na mbuzi 60 Sasa anao 400 na hajawai kutafuta mteja wateja Kila siku wanaongozana kwenda shambani kwake.
Wazo no 2, tafuta eneo chagua mbuzi au ng'ombe depend na mawazo yako au interest zako chukua mbuzi 20 au 30 then fuga kisasa, tafuta formula then unenepeshe, utakuwa unafanya mzunguko Kwa miezi mitatu mitatu, tofauti na hapo kajichanganye kutafuta Frame moto utauona, nimeshauri vitu nilivyofanya...
ukiwa na mtaji chini ya million 20 usijichanganye kwenye biashara za muonekano ambazo, taka, frame, TRA, manispaa, ulinzi n.k wote wanakuangalia wewe, na hii era tunayoenda nayo ndio basi tena,
Kwa miaka ya Sasa mtaji wa 5M -10M ukiikimbiza kwenye frame labda uwe na rare skills ambazo watu...
Uzi mzuri controla. Lakini naona ulichokiongea kinafaa eneo Moja tu, kariakoo huko mtu anaingiza contena Moja tu la boxer au t-shirt vipi uku porini? Kigoma nilijaribu kuuza cadet tu nikapigwa knockout za hatari
Nimetoa wazo hapo juu, kijana akiwa na huo mtaji ni vyema aanze na umachinga na kuzunguka minadani akuze mtaji na experience, akishakuwa vizuri ndio aje na uwezo wa kumuhamisha mtu sehemu potential, pia uwezo wa kulipia kiremba.
Haha Sasa brother umeandika watu kila siku wanaingia kariakoo. Lakini hujaandika wanaokimbia na kuacha frame kila siku, Iko ivi ni vyema ungetoa mchanganuo una million 10 utafute frame wapi kariakoo, mbezi, mbagala, g,mboto nambie utapata wapi palipochangamka? Kila sehemu ipo saturated mno...
Yeah ni kawaida TU, Mimi nadhani watawala wamefanikiwa mno, kitabu kimoja na recommend mkasome kinaitwa art of war by sun tzu, Iko ivi wamefanikiwa kuwatenganisha na kuwagombanisha watu ili waendelee kutawala, yaani unachukua wachache kutoka kwenye jamii yenye njaa, unawapa pesa wagombane na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.