Recent content by Optimists

  1. Optimists

    JamiiForums Tanzania Ingekua wewe ungechagua nini? Kati ya data analysis au programming?

    Hii ni nzuri, ila naona ata programming wanatumia AI vizuri tu
  2. Optimists

    JamiiForums Tanzania Ingekua wewe ungechagua nini? Kati ya data analysis au programming?

    Nina mwanafunzi anayesoma ICT, Yuko mwaka wa kwanza Sasa, amenambia wanagusa Kila sehemu wanasoma cyber security, networking, web development, programming, n.k kaniuliza achague kipi hasa kitakachomsaidia kwenye kujiajiri? Au kufanya kazi na kampuni mbalimbali, kuliko kusubiri ajira za serikali...
  3. Optimists

    JamiiForums Tanzania Ipo siku Watanzania watampuuza Mange Kimambi pamoja na wenzie na makundi yao yote baada ya kutaabika kwa muda mrefu

    Acheni kutumia polisi, wanajeshi muone kama watampuuza,
  4. Optimists

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na link za matangazo ya silaha. Je, ni mtego kwa raia au ndiyo washaingia?

    Sasa wanapata faida gani kuuza hizo silaha kama mchakato ni mrefu? Au ni duka la serikali
  5. Optimists

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na link za matangazo ya silaha. Je, ni mtego kwa raia au ndiyo washaingia?

    Mafwele ni noma, mtu kazi
  6. Optimists

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yamenishinda acha nguvu nihamishe kwenye kilimo na ufugaji

    Naona umejiuliza swali na ukajijibu, Mimi simu yangu siweki password, then nilipokutana nae nilikua nimeshaachana na wale mademu, alikuta text tu tsup, ndio akachukua namba,
  7. Optimists

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yamenishinda acha nguvu nihamishe kwenye kilimo na ufugaji

    Ni kweli mzee.
  8. Optimists

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu kuahirisha masomo chuo degree mwaka wa pili

    Kazi hamna aisee, aende tu jeshini
  9. Optimists

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yamenishinda acha nguvu nihamishe kwenye kilimo na ufugaji

    Intelligent businessman
  10. Optimists

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yamenishinda acha nguvu nihamishe kwenye kilimo na ufugaji

    Mkuu natumia experience Mimi mzee wangu anasafiri Kila week kufata mzigo nchi jirani, naona mama ndio in charge, ila tokea tunasoma nikimuomba mama hela anasema nimpigie mzee, hata akiwa nje kafata mzigo, yaani mother alikua hawezi kutoa hela yoyote mpaka father aridhie shida ni kuipata hiyo...
  11. Optimists

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yamenishinda acha nguvu nihamishe kwenye kilimo na ufugaji

    Kibondo, uvinza, kigoma vijijini, kusini uko wanapaita kalya, ndio sana, sema changamoto maeneo mengi ni hifadhi kwahiyo umakini unahitajika...
  12. Optimists

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yamenishinda acha nguvu nihamishe kwenye kilimo na ufugaji

    Kigoma bado ardhi chini mzee.
  13. Optimists

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yamenishinda acha nguvu nihamishe kwenye kilimo na ufugaji

    Sawa mkuu nimekuelewa.
  14. Optimists

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yamenishinda acha nguvu nihamishe kwenye kilimo na ufugaji

    Bei ni laki na nusu, kwa hekari, pengine mpaka laki.....pengine laki 3 inategemea na eneo.
Back
Top Bottom