Recent content by Optimists

  1. Optimists

    Maumivu yanayohama mgongoni na kiunoni

    Magonjwa ya zinaa kama yapi? Imepita mwezi sasa na nilitumia condom.
  2. Optimists

    Maumivu yanayohama mgongoni na kiunoni

    Mwanzo nilidhani ni infection baada ya kulala na mwanamke mwezi uliopita, nimeenda kupima leo niko vizuri, nashindwa kuelewa aya maumivu chanzo chake ni nini?
  3. Optimists

    Maumivu yanayohama mgongoni na kiunoni

    JF doctor habari. Week iliyopita jumanne nilijikuta napata uchovu mkubwa sana, na maumivu kwenye mabega. Uchovu ulidumu siku mbili tu, then nikaanza kupata maumivu kiunoni na mgongoni kwenye spinal cord, yaani maumivu yanapokezana, yanaweza anza kiunoni then baadae yanaacha yanahamia mgongoni...
  4. Optimists

    Wenyeji wa MWANZA Naomba kujuzwa, Machimbo ya Balo za viatu, Nguo za Special & Electronics kwa Jumla.

    Kwa nguo special, ronya kutoka Kenya nicheck nikuunganishe. Au nikupe namba ya mtu alieko mwanza akuzingushe.
  5. Optimists

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Ni kweli wapo watu wana njia tayari, namimi natamani nipate njia pia.
  6. Optimists

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Nimeamua kupiga open huku nafanya harakati zangu.
  7. Optimists

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Asante sana neno la hekima.
  8. Optimists

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Wanakata mshahara mkuu, sema inabidi niwekeze maana baada ya miaka 5 itakua tena siyo million 15 thamani ya pesa ya kibongo inashuka kwa speed
  9. Optimists

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Shukurani mkuu, kwasababu nasoma open naweza soma huku najipanga nifanye nini, miaka 3 sio mingi.
  10. Optimists

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Nimeshaanza maamuzi yakusoma OUT, kwa hiyo nitafanya biashara huku nasoma.
  11. Optimists

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Umeona kwanini nimekuita mpumbavu? Nilijua akili yako itapotaka kwenda na ungeweza kunijibu vizuri bila kutanguliza kuongea matusi hapa. Nikwambie kitu kimoja, nilipata mkopo wa hazina million 20 nikapata kiwanja sehemu nzuri plus saving zangu nilizokua nazo nikanunua kiwanja million 7 hapo...
  12. Optimists

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Unadhani kigoma kufanya biashara ni rahisi mkuu? Kwenye biashara niko smart nafahamu biashara mno lakini kwa kigoma nimegonga mwamba, nimrjaribu kuhama huu mkoa hata kwa kuhonga lakini mambo yamekua magumu.
Back
Top Bottom