Mwanzo nilidhani ni infection baada ya kulala na mwanamke mwezi uliopita, nimeenda kupima leo niko vizuri, nashindwa kuelewa aya maumivu chanzo chake ni nini?
JF doctor habari.
Week iliyopita jumanne nilijikuta napata uchovu mkubwa sana, na maumivu kwenye mabega.
Uchovu ulidumu siku mbili tu, then nikaanza kupata maumivu kiunoni na mgongoni kwenye spinal cord, yaani maumivu yanapokezana, yanaweza anza kiunoni then baadae yanaacha yanahamia mgongoni...
Umeona kwanini nimekuita mpumbavu? Nilijua akili yako itapotaka kwenda na ungeweza kunijibu vizuri bila kutanguliza kuongea matusi hapa.
Nikwambie kitu kimoja, nilipata mkopo wa hazina million 20 nikapata kiwanja sehemu nzuri plus saving zangu nilizokua nazo nikanunua kiwanja million 7 hapo...
Unadhani kigoma kufanya biashara ni rahisi mkuu? Kwenye biashara niko smart nafahamu biashara mno lakini kwa kigoma nimegonga mwamba, nimrjaribu kuhama huu mkoa hata kwa kuhonga lakini mambo yamekua magumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.