Recent content by Oppo A17k

  1. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Hivi mpaka sasa, bado kuna Watanzania wanaotegemea kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia?

    Ukosefu wa elimu, Wengi wanaamini kitu kama gesi ni gharama sana na hatari inaweza kulipuka ndani. Wengine wanaamini umeme unatumika mwingi kupika kwahyo gharama ni kubwa kuliko kununua mkaa au kuni Kuna Fala mwingine anasema chakula cha kuni au mkaa ni kitamu kuliko cha gesi au kuni
  2. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Mtu akifika tu bei nauzaga kitu changu bila kupanga

    Figo mzee unanipa kwa bei gani?
  3. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Mwanaume, tumia kichwa kikubwa kufikiri, kila kitu fanya kwa kiasi

    Elon Musk anawatoto wengi na kila mtoto na mama yake. Punguzeni ushauri kwenye maisha ya watu. Hakuna aliewahi kuishi kabla
  4. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Ukiona mchumba wako ana sifa hizi oa na weka ndani

    Kama ni hizo sifa labda uumbe wa kwako mwenyewe
  5. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Nimeaiangalia "13 Hours: The Secret Soldiers of Benghazi". Ipi kwako ni muvi bora ya kivita?

    Naona humu ndani mnaruka ruka tu mnasahu huu unyama wa Fury
  6. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Hivi kuumizwa na mapenzi mwisho miaka mingapi?

    Endless
  7. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Binadamu ana majibu ya maswali yote! Wachache wanaujua huu ukweli

    ..Maisha ni magumu. Kuna muda uwezo wa kufikilia ..unapungua kutokana na stress na uchovu wa akili ..Kuuliza ni muhimu pia ili upate uzoefu wa mtu mwingine
  8. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa najiuliza sababu ya vita kati ya Ukraine na Russia ni ipi? Majibu generated by Artificial Intelligence (AI) ni haya

    Russia achakua maeneo kila siku hicho kitu hukioni? Pia mass media nyingi zinamkandamiza Russia ndio maana unaona hana nguvu
  9. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa najiuliza sababu ya vita kati ya Ukraine na Russia ni ipi? Majibu generated by Artificial Intelligence (AI) ni haya

    Unahisi Putin ni kama yule jamaa anaepiga raia, kuua wanawake na watoto? Pia zingatia na interests za vita
  10. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Mimi na Mama Vanesa experience ya fumanizi

    Two way traffic
  11. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Lipo la kujifunza

    Niliwahi iona fasebuku miaka ya nyuma sana hii #No reform no election
  12. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mchumba

    Kwahizo sifa msubilie malaika anakuj
  13. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Unapendelea wimbo gani kama ringtone ya simu yako?

    Alan Walker- Lily
  14. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Naomba uweke hapa orodha ya misaada Russia aliopokea kutoka kwa Iran, North korea, China na nchi nyingine? Weka hata misaada mitano
  15. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sitaki kuamini kuwa pamoja na misaada yote kutoka NATO na USA and other members kama south korea bado imekua ngumu Kupambana na Russia anaepata msaada wa north korea tu
Back
Top Bottom