Recent content by Oppo A17k

  1. Oppo A17k

    Redmi 13C 128 GB, kwa 269,000/= na OPPO A57 2022 kwa 250k

    Ni baada ya siku ngapi mzigo unafika?
  2. Oppo A17k

    Kutoka kunibania utamu mpaka kunigeuza ndama

    Mama anaupiga mwingi #kizimkazi
  3. Oppo A17k

    Nilikuwa na hamu kubwa lakini ile najaribu tu ikawa utambi😭😭

    Najua kuna comments hapo chini zitakuja zinaumiza sana moyo ila hakuna namna itabidi ukubali maana ndio itakua uhalisia na tiba yako pia
  4. Oppo A17k

    Yanga na Simba SC hamtoboi hadi mnisikilize, full stop

    Wanajiona wameonewa kama yatima
  5. Oppo A17k

    Relationship in some countries. Find yours

    Bongo sasa ni hela siku ya kwanza hadi miezi 3
  6. Oppo A17k

    Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

    picha ya huyo kicheche anaetaka kuliwa ..Tafadhari...
  7. Oppo A17k

    Tamaa na haja za kimwili zikiisha upendo wa dhati ama usio wa kweli hujidhirisha bayana

    Mwisho wa siku maji na mafuta lazima yatengane hapo ndio tunajua mbivu na mbichi
  8. Oppo A17k

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Unapata basic needs kwa wakati kama sex na msosi. Hiyo nguvu ya kuoa unaitoa wapi wewe kijana?
  9. Oppo A17k

    Baada ya 'Royal Tour', Serikali sasa yaja na filamu nyingine iitwayo 'Amazing Tanzania'

    Mwambie aachane na mambo ya filamu na maonyesho. Huku mtaani hali ni ngumu sana
  10. Oppo A17k

    Paul Makonda anakwenda kulifanya Jiji la Arusha kuwa maarufu kuipita Washington DC Marekani au Dubai

    Brother pdf yako ni ndefu sana. Jitahidi kupunguza kwa kuandika key point fupifupi sana Tutakuelewa huitaji nguvu sana kutushawishi juu ya utendaji maana tunaona kila kitu
  11. Oppo A17k

    Ahmed Ally, Msemaji wa Simba, Mungu anakuona!

    1. Kwani anaecheza ni Ahmed Ally? 2. Kwani kocha ni Ahmed Ally? 3. Aliefunga simba ni Ahmed Ally? 4. Kwani kazi ya Ahmed Ally ni nini mpaka unampa lawama zote? NB: kila mtu atimize majukumu yake tuone panapo vuja.
Back
Top Bottom