Recent content by Oppo A17k

  1. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Nimeaiangalia "13 Hours: The Secret Soldiers of Benghazi". Ipi kwako ni muvi bora ya kivita?

    Naona humu ndani mnaruka ruka tu mnasahu huu unyama wa Fury
  2. Oppo A17k

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kuumizwa na mapenzi mwisho miaka mingapi?

    Endless
  3. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Binadamu ana majibu ya maswali yote! Wachache wanaujua huu ukweli

    ..Maisha ni magumu. Kuna muda uwezo wa kufikilia ..unapungua kutokana na stress na uchovu wa akili ..Kuuliza ni muhimu pia ili upate uzoefu wa mtu mwingine
  4. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa najiuliza sababu ya vita kati ya Ukraine na Russia ni ipi? Majibu generated by Artificial Intelligence (AI) ni haya

    Russia achakua maeneo kila siku hicho kitu hukioni? Pia mass media nyingi zinamkandamiza Russia ndio maana unaona hana nguvu
  5. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa najiuliza sababu ya vita kati ya Ukraine na Russia ni ipi? Majibu generated by Artificial Intelligence (AI) ni haya

    Unahisi Putin ni kama yule jamaa anaepiga raia, kuua wanawake na watoto? Pia zingatia na interests za vita
  6. Oppo A17k

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi na Mama Vanesa experience ya fumanizi

    Two way traffic
  7. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Lipo la kujifunza

    Niliwahi iona fasebuku miaka ya nyuma sana hii #No reform no election
  8. Oppo A17k

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mchumba

    Kwahizo sifa msubilie malaika anakuj
  9. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Unapendelea wimbo gani kama ringtone ya simu yako?

    Alan Walker- Lily
  10. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Naomba uweke hapa orodha ya misaada Russia aliopokea kutoka kwa Iran, North korea, China na nchi nyingine? Weka hata misaada mitano
  11. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sitaki kuamini kuwa pamoja na misaada yote kutoka NATO na USA and other members kama south korea bado imekua ngumu Kupambana na Russia anaepata msaada wa north korea tu
  12. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Brother jitahidi kupunguza hasira unapokua una mfundisha kichaa sugu
  13. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Dar es Salaam

    Mkuu umetembea mikoa mingapi ukapata hizo takwimu? Au labda unaongelea Tanzania inayopatikana Jupiter?
  14. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Dar es Salaam

    Unataka kusema kuwa vijana wa mikoani wote wapo vizuri kiuchumi? Au mimi ndio sijaelewa
  15. Oppo A17k

    JamiiForums Tanzania Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

    Interested
Back
Top Bottom