Nimekuelewa sana.pole kubwa utakua una wakati wakutatiza sana.simama kama mwanamke ata kama huna mtoto,mji ni wako wewe ndo unaweza kujenga au kuibomoa nyumba yako,mwambie mwanaume unayoyaona ijapokua atabisha kama mwanaume,fukuza wifi yako kwako.we fukuza tu mji ni wako we mdada na mume ni wako
Duh?benki kuu siziko moniterd na benki ya dunia?kwahio wametuchakachua via benki ya dunia ama mimi ndo hua sielewi hapa nieleweshwe.kama kenya katupiga sasa ina maana tumekua tunapigwa benki ya tz ama ni chai mkuu?wapi chanzo cha habari hii nikafukunyue mkulu?si kwa ubaya lakini ni ombi
Wewe uliyepewa akili na movement endeleeni ila hata kama sisi wa hovyo hayawahusu.icho ni kiherehere kilichokomaa,walifinywa hao wanaharakati wenzako hawatarudia bongo hii,sasa tuliwaita?na wewe kujitia ujuaji tu punga wewe.unashobokea wakenya si wakakuoe tu sasa?movement.....kwao na...
Kenya manina zenu,hatuwashindi kukaa nyuma ya keyboard,waongeeeee tukae kimya wataacha,wafinywe kwenye chakula hawa washenz,wakija kununua mahindi piga bei maradufu au chakula chetu kisivuke mpaka manina hawa tunakua tumewashika pakunyea.wanajionaga hawa watu yani uki battle nao kwenye mtandao...
Mkuu malizia basi nipate kile ulichotaka kusema,kwahio mwandishi ni mtu wa namna gani kwa mujibu wako?mi sijamuelewa alichokiandika na comment nyingi ni kama ninavyowaza.nchi imepaa?mirija bandarini imezibwa?hua naelewa nondo zako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.