Msijaribu kukopa Bayport, ni wezi wana lugha chafu ukikopa ukiomba loan balance wanakupiga dana dana, serikali kwa nn hawalioni hili waache kuingia ubiya nao wananyanyasa sana watumishi,
Na watoto ambao umewalea, ukawasomesha na sio damu yako wanafadhila na huruma na msaada mkubwa kwako kuliko hata wale wa damu yako, Na Mungu anakuongezea baraka mara dufu. Hata mimi nina mifano mingi sana.
All in all CCM inachumia nchi yetu laana, mpaka sasa hakuna ushahidi wa kuwa mbowe ni gaidi, waru wanazidi kuteseka buree kwa sababu ya kudai katiba mpya ambayo ni haki yetu.
Mama na familia yake, na viongozi wengine wa nchi wanakula mema ya nchi na familia zao., huku wakisema acha wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.