Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Tukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.

Hiyo hela inaenda wapi?

Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Ukiwa hao wasiozidi million 3 ni TUME ya Uchaguzi, JWTZ, Polisi, Mahakama. TISS sidhani kama kuna shida
 
Mama inawezekana hana taarifa za kina kuwa hana support ya kutosha ndani ya CCM na atakuja kushtuka kina Ndugai wako wengi tu wakiwemo wanaojidai kumuunga mkono leo hii kumbe wanamlia timing tu.

Kuna wataomuunga mkono kutafuta uteuzi tu na sio kwamba wako loyal kwake.
Magufuli gang tumetumia huu mzozo wa huyu zuzu ndugai kumponda zuzu na mama katuita ikulu akidhani ni team wahuni,mama katutolea meno hadi jino la 32 akidhani ni team wahuni sasa tuta ua wahuni wawili kwa jiwe moja
 
Watu ambao chama kiliwashinda hadi sekretariat ikavunjika, kina Mangula wakaja kuokoa jahazi, ndio leo wanarudi kukumbatiana.
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I might end up being right again!

Paskali
Rejea


Ndugai kwenye utawala wa SSH ni "a square peg in round holes"
Inabidi akatwe kichwa tu!
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I might end up being right again!

Paskali
Rejea


Kama kiongozi wa muhimili kamili unaojitegemea Ndugai boss wake sio Samia, spika kwa kutumia wabunge ana uwezo wa kumuengua Rais. Technically,Rais nae anaweza kutumia chama kumuengua spika...so it's a matter of timing and support!
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I might end up being right again!

Paskali
Rejea


AJIUZULU TU
 
Kabla Bunge halijafikia hatua ya kumpigia kura ya kutokuwa na imani nae, atalivunja na kuitisha Uchaguzi mkuu!! Kumbuka yeye ndio Mwenyekiti wa ccm ambae atasimamia majina yatakayopitishwa kugombea kupitia chama hicho! Hata hivyo wabunge wangapi wako tayari kwenda kwenye uchaguzi wakati huu.
Yaani Mama akiitisha uchaguzi sasa anashindwa vibaya mno, hakuna anayempenda kabisa huku mitaani, ila kwa wale matajiri wasiopiga kura watamshangilia. Kwa ufupi Mama hana ushawishi kabisa. Yeye alipaswa atulie kwanza kuangalia upepo, sasa sijui nani alimdanganya kuanza kuonesha uchu wa madaraka ya urais na kuanza kukandia yale ya mwenzake. Na lingine baya kabisa ni kuonesha chuki ya wazi kwa utawala wa Dkt Magufuli ambao na yeye alikuwa sehemu ya hiyo serikali.
 
Kama kiongozi wa muhimili kamili unaojitegemea Ndugai boss wake sio Samia, spika kwa kutumia wabunge ana uwezo wa kumuengua Rais. Technically,Rais nae anaweza kutumia chama kumuengua spika...so it's a matter of timing and support!
Hapo patamu kabisa. Ila Ndugai akimuengue Mama itakuwa bonge la hasara maana itabidi tukope tena kufanya uchaguzi. Ila Mama akiondolewa atasumbuliwa sana maana uhakika hawezi kushinda uchaguzi
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I might end up being right again!

Paskali
Rejea


Nadhani dhana nzima imejikita ktk kuonyesha ufinyu wa mawazo kwa Watanzania tulio wengi. Kama nchi kila mtu kwa nafasi yake ana vision yake. Hatuna Vision ya pamoja kama Nchi. Ndio maana kila siku kwa miaka mingi, siasa zetu ni za vijembe au za taarabu tu. Nasi Watanzania tulio wengi...tunaicheza tu, si vijana si wazee......

Tufike mahali tujitathmini na kupata visio ya pamoja....hayo ni mawazo yangu.
 
Unaweza kufuga viumbe vyote lakin huwezi kufuga binadamu.

Samia atashinda leo lakini hatashinda wakati wote.

Amuulize Alexender the great.
Bila kuangalia who is right and who could be wrong, haiwezekani kwa afya ya kisiasa katika nchi yetu Mama na Ndugai wakafanya kazi ceremoniously . Mmoja kati yao ammue aondoke. Nani sasa?
 
Bila kuangalia who is right and who could be wrong, haiwezekani kwa afya ya kisiasa katika nchi yetu Mama na Ndugai wakafanya kazi ceremoniously . Mmoja kati yao ammue aondoke. Nani sasa?
Kutokana na mawazo ya kijima tuliyo nayo
Kutofautiana ni kawaida Sita alitofautiana na Kikwete na haikuwa tatizo.
 
Back
Top Bottom