Recent content by opaque01

  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dawa ya msaliti hii hapa, wala usiumize kichwa

    Sio rahisi kihivo. Wachache sana wanaoweza. Binafsi cwez kukaa na kitu moyon. I might die of stress
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wife material needed

    kwenye color tu pamenikimbiza
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku ya kwanza ulipoambiwa na mpenzi wako mimi na wewe basi ulijisikiaje?

    Ahshahahaha.....asee had mtu anaharisha kisa kuachwa....hii ni noumer
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona siaminiki kwake?

    Mi ni "ke" wandugu.....then ni mara nyingi nkimkosea kwa makosa mengine lazma akumbushie na hilo....kazi ninayo. Lakn i hope mambo yataenda vzr tu.
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona siaminiki kwake?

    Actually cjawahi kumcheat tena nliamua kubadilika kabisa still kuniamin ndo tatzo
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona siaminiki kwake?

    Kabla sijachangia nataka kujua, UMEFANYWA au UMEFANYA? Nimefanya
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona siaminiki kwake?

    Asanteni kwa ushaur
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona siaminiki kwake?

    Habar zenu, kwa mara ya kwanza napost Jamii forums. Kuna hili jambo mwenzenu laniumiza kichwa. Mpenzi wangu haniamini tena kama zamani kwa chochote kile na yote ni kwasababu niliwahi kumcheat. Lakini alinisamehe na tukaendelea vizuri lakini tatzo sikuhizi haniamini kama zamani ananitilia...
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wanawake tu

    Taja sifa zako kwanza
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Riwaya: Hatia

    Duh!........story nzuri asee
Back
Top Bottom