Alikuambia nani mwanamke hawezi faulu bila kutoka na mkufunzi?wapo wanawake wengi waaminifu na wenye akili kiasi cha kumaliza chuo bila hata supp na kucheat. .. mtoa mada mruhusu tu akasome
Nec ndiyo imewatatiza watu kwa kuweka wagombea wa ukawa wawili kimakosa..wa chadema ambaye hakupaswa kuwekwa na wa cuf..wananchi ambao hawakuwa na taarifa waliwapigia wote .......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.