Recent content by Onyinyeme

  1. Onyinyeme

    Nataka kumpeleka mke wangu chuo lakini roho inasita

    Hongera sana naamini hutajutia kwa zawadi hiyo.heri ww uliyefunuliwa na kuchukua hatua. Barikiwa
  2. Onyinyeme

    Nataka kumpeleka mke wangu chuo lakini roho inasita

    Alikuambia nani mwanamke hawezi faulu bila kutoka na mkufunzi?wapo wanawake wengi waaminifu na wenye akili kiasi cha kumaliza chuo bila hata supp na kucheat. .. mtoa mada mruhusu tu akasome
  3. Onyinyeme

    Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

    The bitter truth...thanx ladyred. .. ukiona ke anatoka jihoji sana siyo bure
  4. Onyinyeme

    Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

    Ila mwanaume ana haki ya kucheat
  5. Onyinyeme

    Nakupenda sana: Pumzika kwa amani Mama yangu

    Pole sana Mungu awape faraja
  6. Onyinyeme

    Kanikataa, je nimchomee kuwa ana vyeti feki?

    Umchomee ili iweje muache aendelee na maisha yake huwezi jua umejiepusha na nini....
  7. Onyinyeme

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Nec ndiyo imewatatiza watu kwa kuweka wagombea wa ukawa wawili kimakosa..wa chadema ambaye hakupaswa kuwekwa na wa cuf..wananchi ambao hawakuwa na taarifa waliwapigia wote .......
Back
Top Bottom