pumbavu kabisa!!!! Kumbe watu wengine wanahangaika kutafuta kipato kihalali kumbe wengine wanajibonyezea tu maisha kwa kidole kiulaini!!!!!
Ndiyo maana hata mi'siku hizi nashangaa watu wakawaida sana wapiga diri wanakuwa matajiri ghaflaghafla hadi najiuliza au maisha magumu yako kwangu...
yes mkuu!!! Hapa wacha tuisome nambari kama tulivyopenda!!!
Ikibidi hadi kodi ya baiskeli irudi maana serikali haina pesa!!
Watz tusipende vya bure sana; fanya kazi ndiyo ule!!!!!
naukitaka kuamini kwamba ushindi wa Pombe sihalali we pitapita mitaani mkoa kwa mkoa utaona jinsi watz asilimia kubwa walivyosononeka na kuhuzunika!!! hiyo inaashiria kwamba Pombe hakushinda isipokuwa walipika matokeo yao!!!
we just pitapita tu mtaa kwa mtaa afu utapata jibu mwenyewe!!!!!
mijitu imekwiba kura afu inamdhihaki Mwenyezi Mungu kupitia biblia takatifu!!
alaniwe mtu yule alitumie neno la Mungu wa ibrahim, isaka na yakobo kuhalalisha uovu na dhuluma!!!
Tazama utawala huu wa Pombe utaparaganyika tu kwakuwa haukuingia madarakani kwa haki!!!
hayo ndiyo mambo ccm afu tunadanganywa eti tz kuna vyama vingi!!! bora mbakie ccm peke yenu ijulikane moja watu waachane na huu upumbavu wa danganya toto eti kuna vyama vingi!! shame on you ccm!!!
hayo ndiyo pure majibu ya wana ccm afu tunadanganywa eti tz kuna vyama vingi!!! bora mbakie ccm peke yenu ijulikane moja watu waachane na huu upumbavu wa danganya toto eti kuna vyama vingi!! shame on you ccm!!!
nakwakweli kwasasa kila mtu naubebe mzigo wake mwenyewe!!! hakuna cha aah mjomba unajua nina shida ya ada mara aah unajua mdogo wangu ninaomba msaada wa kaela nikalipie matibabu ya ndugu yako au mtoto wa kaka yako!!!!
hapo from now on nikila mtu na mzigo wake!!!
watz tumeishi kwa kusaidiana...
Enyi wazanzibar mbona mnapelekeshwa na tanganyika as if you're under colonal rule??
Hamna say kwenye nchi yenu wenyewe, kila kitu mnaamuliwa na tanganyika!!
I really feel sorry for you zanzibar! A country believing to be free/independent while still under colonization!!
Watu huheshimiana pale ajulikanapo mkubwa nani na mdogo nani!!!!!
Nchi hii hatuheshimiani ndio maana dharau ya dhahiri imekithiri!!!
Watu wenginine wakishinda "matokeo yanakuwa halali na uchaguzi hauna tatizo" ila wengine wakishinda
"matokeo yanakuwa batili na uchaguzi unakuwa si'halali"...
Hakika mwenyezi mungu wa ibrahim, isaka na yakobo mungu bwana wa majeshi atawaumbua hawa ccm
wapindishao haki ya taifa lake tanzania!!! Tanzania inaweza kuwepo hata bila ya ccm. Wasijifanye kama wao ndiyo miungu ya nchi hii kwamba lolote walitakalo lazima liwe!!!
Hakika hakuna damu ya mtz...
maajabu sana mkuu hata mimi nimepigwa na butwaa sana!!!!
na ndiyo maana walilazimisha watu wakalale baada ya kupiga kura!!! ccm a complete disastor!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.