Hata Yona alikuwa nabii. Alitabiri kuangamizwa
kwa Ninawi ila unabii wake ulibadilika.
Mambo yote yatapita lakini neno litasimama.
KUTOKA 18 :21
21 Zaidi ya hayo utajipatia katika watu hawa
watu walio na uwezo, wenye kumcha
Mungu, watu wa kweli, wenye kuchukia
mapato ya udhalimu (rushwa); ukawaweka juu
yao,
wawe wakuu wa maelfu, na wakuu wa mia,
na wakuu wa hamsini, na wakuu wa kumi;
Yeremiah 23:-
16 Bwana wa majeshi asema hivi, Msisikilize
maneno ya manabii wakiwatabiria;
huwafundisha ubatili; hunena maono ya
mioyo yao wenyewe; hayakutoka katika
kinywa cha Bwana.
31 Tazama, mimi ni juu ya manabii, asema
Bwana, wanaotumia ndimi zao na kusema,
Yeye asema,
32 Tazama, mimi ni juu ya hao wanaotabiri
ndoto za uongo, asema Bwana, na kuzisema,
na kuwakosesha watu wangu kwa uongo
wao, na kwa majivuno yao ya upuzi, lakini
mimi sikuwatuma, wala sikuwapa amri; wala
hawatawafaidia watu hawa hata kidogo,
asema Bwana.
KUTOKA 18 :-
21 Zaidi ya hayo utajipatia katika watu hawa
watu walio na uwezo, wenye kumcha
Mungu, watu wa kweli, wenye kuchukia
mapato ya udhalimu (rushwa); ukawaweka juu
yao,
wawe wakuu wa maelfu, na wakuu wa mia,
na wakuu wa hamsini, na wakuu wa kumi;
MAWAZO YA MUNGU SI YA MWANADAMU
#HAPA KAZI TU!
kwa Ninawi ila unabii wake ulibadilika.
Mambo yote yatapita lakini neno litasimama.
KUTOKA 18 :21
21 Zaidi ya hayo utajipatia katika watu hawa
watu walio na uwezo, wenye kumcha
Mungu, watu wa kweli, wenye kuchukia
mapato ya udhalimu (rushwa); ukawaweka juu
yao,
wawe wakuu wa maelfu, na wakuu wa mia,
na wakuu wa hamsini, na wakuu wa kumi;
Yeremiah 23:-
16 Bwana wa majeshi asema hivi, Msisikilize
maneno ya manabii wakiwatabiria;
huwafundisha ubatili; hunena maono ya
mioyo yao wenyewe; hayakutoka katika
kinywa cha Bwana.
31 Tazama, mimi ni juu ya manabii, asema
Bwana, wanaotumia ndimi zao na kusema,
Yeye asema,
32 Tazama, mimi ni juu ya hao wanaotabiri
ndoto za uongo, asema Bwana, na kuzisema,
na kuwakosesha watu wangu kwa uongo
wao, na kwa majivuno yao ya upuzi, lakini
mimi sikuwatuma, wala sikuwapa amri; wala
hawatawafaidia watu hawa hata kidogo,
asema Bwana.
KUTOKA 18 :-
21 Zaidi ya hayo utajipatia katika watu hawa
watu walio na uwezo, wenye kumcha
Mungu, watu wa kweli, wenye kuchukia
mapato ya udhalimu (rushwa); ukawaweka juu
yao,
wawe wakuu wa maelfu, na wakuu wa mia,
na wakuu wa hamsini, na wakuu wa kumi;
MAWAZO YA MUNGU SI YA MWANADAMU
#HAPA KAZI TU!