Ole na Carrick ni watu sahihi kuwapa timu hadi mwisho wa msimu ili kurudisha furaha Utd. Wana dna ya club wanatumia philosophy ya club. Baada ya msimu board ipime ubora wao na walikoifikisha timu waone kama wanaweza kuwapa permanent contract
Iran wameiomba na Cyprus pia ijaribu kuongea na Israel wasitishe mashambulizi. Kumbuka Israel wameondoa ndege zao karibu zote pale Ben Gurion airport wamezipeleka Cyprus na mataifa mengine ya ulaya kwa usalama
“…we have given Hamas ‘till Saturday noon to release the Israel captives, i know they will act tough guys, we will see how tough they are…” Trump! Hili ‘biti’ limekaa kibabe sanaa
Kwa mtazamo wangu, kaletwa mahsusi kudeal na Tanganyika Law Society (TLS), kubadili/kufanyia marekebisho sheria yao hasa Section 4. Utakumbuka alichokifanya akiea kwenye wizara hii kipindi cha Magufuli na badae alipoingia Mwakyembe
Kwahiyo mkuu, unapopigana na adui/mpinzani wako unampa masharti ya kwamba asitumie mguu na mkono wake wa kulia kushambulia/kupiga kwasababu vina nguvu sana, atumie tu mkono na mguu wa kushoto kwa sababu ni dhaifu. Halafu unataka ukimpiga useme umeshinda
Ongezea pia kwamba, hata taifa lolote likionekana linatoa aina yoyote ya msaada wa kivita kwa Mrusi na lenyewe linawekewa vikwazo au kutishwa, mf. South Africa juzi hapa
Wanataka kumuaminisha Zelensky kua kuna mpasuko mkubwa Russia tena kwenye inner circle ili aone sasa ni wakati sahihi kurudi nyumbani kuanzisha counter-offensive haraka kabla hawajaelewana na kujipanga upya. Akifanya kosa hilo hatokaa asahau. Chess inayochezwa hapa si ya kiwango cha dunia hii...
Nimesoma chanzo kimoja kinasema mzozo huu kati ya viongozi wanaoongoza serikali ya kijeshi ya mpito Sudan umechagizwa na USA na Russia. Wiki kadhaa zilizopita waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov alienda Sudan kwa mazungumzo hasa kuruhusiwa kuweka military naval base yao pale Red Sea...
Hiki ulicho post kimeakisi JF ya kipindi hicho, JF iliyokuja kujizolea umaarufu na wingi wa followers hii leo kwakua mtu alikua akileta habari enzi zile anadondosha na ushahidi ambao unaacha silimia ndogo sana ya mashaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.