Kila mtu hukosa maarifa sehemu fulani fomu foo kusema hivyo usiwahukumu moja kwa moja hata wewe una udhaifu pia kama wewe na elimu yako umegundua nini dunia ambacho kinasaidia watu?
Watu tujifunze kuelimishana kwa hekima
Mimi siwezi kuhoji ukuu wake, mwanadamu analimiti ya kujua mambo ndio maana hata mzazi wako hawezi kukushirikisha kwa kila kitu. Mambo ya kiMungu ni magumu kuyajua kiroho omba neema uwe karibu naye huenda yeye mwenyewe akakufunulia ukawa mshuhuda wetu.
Niseme tu kwamba hata akikugunulia ukaja...
Mtu hakosei bali tamaa yake ndio inampelekea kukosea, binafsi naelewa miili yetu hii ni kama chombo kinachoendeshwa tu ambacho kinapokea nguvu toka pande mbili
1. Shetani
2. Mungu
Ukimuamini mmojawapo matendo yako yataendana na upande huo japo kuna watu wanakuwa vuguvugu kwamba kila upande yupo...
Na wewe tofautisha kati ya "piki" Na "pili" Umesema mwenyewe kila mtu aachiwe aamini anavyotaka sasa mbona unahoji imani za watu?
Wewe kuna siku tulikuambia ututhibitishie huyo mungu wako unayemuamini? Sisi tunaoamini uwepo wake mbona huwa hatuhoji kile ninyi mnachoamini na kama ni hivyo na...
Wewe mwanao uliemzaa akikukosea huwezi ku
Nawewe si ulijua utazaa watoto, watoto wako wakikukosea huwezi kuwaazibu kwa maneno au kwa vitendo?
Wewe hujawahi piga hata mtoto wako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.