Recent content by onlinenauza

  1. onlinenauza

    WCB: Birthday ya 21 ya mavoko,sherehe tunafanyia South Afrika.

    Una cheti chake cha kuzaliwa
  2. onlinenauza

    Kwa uvaaji wa suti kama hii, nani atatupa tuzo?

    Na mtu huyu mpenz wake ni mbunifu wa mavaz lakin kaamua tu kuwatia nuksi wenzie kwa kuuchukua alipouchukua msuti wake kwa lengo la kuwaaribia wenzie
  3. onlinenauza

    Nimekuta kinyesi cha binadamu mlangoni kwangu

    Usizoe wewe mkuu mlipe mtu azoe ukizoa tu imoooooooooooooo
  4. onlinenauza

    Nimekuta kinyesi cha binadamu mlangoni kwangu

    Usizoe wewe mr cause ni mlengwa mlipe mtu
  5. onlinenauza

    Profesa Ndalichako na Dr. Mahiga mmeonesha udhaifu wenu hadharani

    Hawa ni watz wenzetu tuwasamehe sio mapenzi yao ni maagizo kutoka juu
  6. onlinenauza

    Umeya wa Kinondoni, dalili mbaya kwa UKAWA kushindwa Ubungo

    Ndugu wananch ingieni barabaran jion hii mpaze saut zenu kukemea hili.jitokezen kwa wing jaman
  7. onlinenauza

    Jiti alilobeba Ali Kiba lataka kumtoboa machoshabiki tuzo za MTV

    Jiti hilo alilolishikilia mrefu akiwa anaimba jukwaan haijajulikana sababu ya msingi ya kulishikilia hivyo limeibua maswali ambayo hayana majibu hivyo limezua gumzo nchini south africa na hisia tofaut wengi wakihusisha na iman za kishirikina. Alipotafutwa mtu wa team yake alisema tu jiti...
  8. onlinenauza

    MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

    Katika hali isiyo ya kawaida mwanamuziki ali said kiba kasababisha bahat mbaya kwa watanzania wenzake waliokua wakishiriki tuzo hizo hapo jana. Ali kiba hakuwai kushiriki katika tuzo hizo hata mara moja na uwepo wake kwa mara ya kwanza umezuia bahat za wenzake kupata kura.. Unajua ali kiba...
  9. onlinenauza

    Butiku apongeza serikali ya Rais Magufuli

    Maelekezo kutoka juu
  10. onlinenauza

    Maandamano ya vijana waliositishwa ajira zao kufanyika mwishoni mwa mwezi

    Na wewe uliajiriwa ukasitishwa ajira
  11. onlinenauza

    Panya road wavamia sherehe za mahafali Msongola

    Tatizo nani aanze kupigwa panga ndio maana kila mtu anainusuru sura yake
Back
Top Bottom