[Kajenga nyumba za jwtz nchi nzima
QUOTE="britanicca, post: 33128597, member: 290488"]
Kwa Kifupi Kikwete kafanya Mambo mengi sema kosa alilofanya ni kuruhusu watu wamchezee sharubu
Kikwete Kaongeza Hospital kadhaa
While za Kata
Nyumba za watumishi wa Umma kama Polisi na Walimu
Vivuko nchi...
Endeleeni kujiteua ili kutimiza adhima ya kiua upinzani. Sisi vijana tupo mtaani jobless then mnakuja kusema nikatimize haki ya kikatiba ya kuwaajili,?
Mtuaache tuendelee kupambapana na hali zetu.
Broo kama ni wew uliyeandika yule Facebook kumnanga mbowe na chedema sasa nimekutambia jina sikutaji ila jifunze kuvaa uhusika wa mateso ya mwenzio Mdude CHADEMA
Katika biblia kulikuwa na mfalme Daudi ambaye mwanaye Absalomu alipanga njama ya kumpindua Daudi ili Sulemsin akose ufalme lakini Daudi alikwambia Yoabu kuwa Absalomu asiuawe baada ya kukamatwa, yote hii inatufundisha kuchualiana na kusameheana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.