Kuna hil swala mie sioni kama limekaa vizuri na lina tija mbele ya watanzania ambao tunahitaji maendeleo na mustakabali wa nchi yetu. Tunafahamu kila chama cha siasa kina msemaje wake kwa mambo yote yanayohusu chama husika mfano CCM yupo NAPE NAUYE, CHADEMA yupo John Mnyika, sasa inapotokea...
Mmmm Jamani humu ndani kuna watu inabidi wakapimwe akili au Administrator aweke code za kuverify kwamba anaye log in na kuweka thread yake ni mtu mwenye akili na utashi na sio kama roboti.....!!! Tuache kufikiri kwa kutumia tumbo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.