Ngugu wana jf nimeleta hii thread kuhusu ngombe anaye zaa mapacha:
UKWELI NI KWAMBA:Endapo ng'ombe ata zaa mapacha na akawa amezaa jike na dume hio product haitaweza kuzalisha tena ila endapo wakazaliana wa jinsia moja watakuja kuzaa kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi serikal inaposema nikaji ajiri inanichanganya sana , maana ya kujiajiri nini labda ? Maana ukisema uingie kwenye kilimo ni ngumu zote tunaona mvua hazipo pia kilimo kinahitaji capital pia
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.