Hapo hujadhalilishwa bro umejidhalilisha mwenyewe, ulishalewa mapenzi ukasahau focus zako kimaisha, mtu alishakupa hadi mtaji umeshindwa kufanya vtu vya maana, huna cha kumlaumu huyu bibie amekusaidia Sana
Ulipoanza mwanzo nilijua mchambuzi wa soka badae umeonyesha kua ni mshabiki flani tu, kiuchambuzi wa HD Man Utd lazima amalize top 4 na wachambuzi wengi duniani c tu wameiweka United katika kinyang'anyiro cha top 4 bali wameona United ndio tim pekee inayoweza kumfukuzia Chelsea, liver arsenal...
Hayo matatizo yapo sana hasa kwa tuliozaliwa Wengi, lakin ukweli ni kwamba ndugu yako hata akuchukie kiasi gan ni vigumu sana kuja kukudhuru, napenda kusikiliza quote flan iv ya Claus wa The Originals anasema We are always bound together with whom we share blood, trust me hata mchukiane kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.