Katika maisha unatakiwa kuwa na msimamo na ufuate kile wewe mwenyewe unaona kinafaa kulingana na mazingira yako . imekuwa kawaida watu kusema ndoa inaleta baraka lkn kwa maono yangu ndoa italeta baraka pale MTU kwa utashi wake ataona ni wakati muafaka kwake kuoa na sio kuoa kwa kushinikizwa na...
Ivi km wewe ndo ungekuwa mke wake ingekuwaje ?
Je Huyo mwanaume ndo aliyonayo ni halali na ya dini au serikali ?
Kimsingi km ndoa aliyonayo ni ya Kikristo basi ujue hiyo ndo mnayotaka kufunga itakuwa batili .
Mwisho , katika maisha sio kila unachokitaka au kukipenda lzm ukipate n kuwa nacho ...
Pale unapoamua kuwa mtu ambaye wewe sio mtu wa kwanza ,basi tambua wewe haujawahi kuwa 1st choice . kibaya zaidi ni pale unakuta mtu ana Maex zaidi ya wawili basi jua yupo na wewe kwa kuwa ndo option iliyojitokeza .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.