Recent content by Omushaija Ta Mwesigwa

  1. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania Chalamila yupo sahihi; kuna Bima ya elfu 40. Unajua Mkeo ni mjamzito, huna Pesa. Kata hata hiyo

    Mkuu naona unafanya attacks zisizo na msingi. Nani amekwambia me sifangi kazi au nashindwa hudumia familia yangu. Hapa siongelei umimi. Ninaongelea nafasi ya pili na ya tatu ambayo wewe na mimi tunajua, wapo watu wana changamoto kiuchumi. Tunaposema Tanzania si maskini ni kweli Tanzania si...
  2. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania Mzee Wassira ''aenda chaka'' akimjibu Tundu Lissu kuhusu hoja ya mabango ya Samia

    Ukienda Police na Nyumba za kulala wageni Kabila linaulizwa, hapo mzee anataka kusema ni nani anauliza hiyo? Si ni serikari? Na tahatifa za police usema mtu xyz, mchaga au mhaya au mdengeleo wa .... anashikiliwa na jeshi la police kwa .....
  3. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania Chalamila yupo sahihi; kuna Bima ya elfu 40. Unajua Mkeo ni mjamzito, huna Pesa. Kata hata hiyo

    Mkuu una uhakika nchi yetu maskini? Sidhani kama ni maskini. Binafsi nadhani ni usimamizi wetu hafifu au mbovu katika kusimamia rasilimali zetu hasa za asili [madini, gasi,mazao n.k ] na hivyo kushindwa linda au jenga uchumi wa mwananchi wa kawaida. Embu jiulize uchumi wa wa Tanzania...
  4. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

    Sio huyu. Ila acheni sheria ichukue mkondon wake.
  5. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania KERO Madampo ya taka maeneo ya sokoni ni kero

    Hii ni kushindwa kwa Taasisi husika kusimamia usafi/uchafu. Elimu ya kupambana na taka na muhimu sana kwa jamii na law enforcement ni muhimu pia.
  6. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania Chama cha wasio waislam wala wakristo kinahitajika

    Pamoja tutafika
  7. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

    Za baadhi ya WaTanzania. Kumbuka TZ ni multi-religion country. Ila wakristo na waislam hujitoa akili wakidhani wao ndo wao pekee. Ila wangeujua ukweli wangetulia tu.
  8. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

    Kwahiyo kwa akili yako unadhani dini ni 2 tu? What about Budhist? Sickhism, Hinduism, African Religions? Au unadhani hawa waamini hawapo na pia wao wangependa wapate masomo juu ya dini zao. Huu Ukristo na Uislam ni kujenga matabaka yasiyo na msingi na sio muhimu. Taasisi za kidini zijitegemee...
  9. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania Barabara kutoka Cairo Misiri hadi capetown Afrika Kusini, hapa Tanzania inakatisha mikoa ipi?

    A Arusha, Manyara, Dodoma, Iringa na Mbeya.
  10. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum kwa Jamii Kuzingatia Sheria ya Mtoto kudhibiti Mmomonyoko wa Maadili

    Wanaoongoza haribu watoto ni wasanii na redio na TV. Nyimbo zao ni hatari sana kwa watoto. Embu imagine mtoto anaimba nyimbo za Diamond au Zuchu au sijui nani? Na hizi nyimbo zinapigwa kwenye mabaa yaliyojaa mitaani kwa sauti juu hata mzazi ukijitahidi mtoto asiyasikilize au kuyaangalia hayo...
  11. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania NEMC wamedhamiria kuua baishara ya baa na sanaa kwa ujumla. Baa itaendeshwa vipi bila muziki? Liquid Bar wamezuiwa kupiga muziki

    Mto mada umekosea sana. Tambua haya 1. Nini maana ya noise pollution (Uchafuzi wa Sauti) na athari zake 2. Sheria inasema nini juu kiwango cha Sauti kinachotakiwa zaliswa katika au kutoka eneo fulani (Makazi, Sehemu za Biashara na Sehemu za Viwanda) kwa wakati fulani (usiku au mchana) 3...
  12. Omushaija Ta Mwesigwa

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya kiroho Kenya, Tanzania tuko hatarini

    😁
Back
Top Bottom