Wanaume tunataka watoto tu, hapa nimeanza tu safari nina watoto wanne, uchoyo wa watu wa Ulaya kuzaa, kumewafanya watu weupe kuwa hatarini kutoweka miaka ijayo, maana waarabu walioenda ulaya ndio wanazaa na kushika ofisi nyingi ambazo zimekosa watenda kazi kwa sababu ya kupungua nguvu kazi...
Biashara zinazotumia umeme muwe makini Kama mnatumia generator msije filisika..Kama ni stationery au saloon angalia sana flow ya wateja ndio uwashe generator. Usipofanya hivyo kufilisika kunakuhusu.
Binadamu ana kiburi sana akiwa na afya na pumzi.
Wanaokatishwa tamaa kwenye safari ya imani humalizwa na shetani kwa namna mbaya
Watakaposema wizi si dhambi wataishia kuiba na kupigwa mawe
Watakaposema uzinzi si dhambi wataishia kufanya zinaa hadi wapotelee huko
Watakaposema ushoga si dhambi...
Shida ni kwamba kila mtu ana ya kwake anayotaka yawe kwenye katiba hiki kinapelekea kuwa na "Constitution Hijack" na hii inafanya jamii kubwa ya watanzania kutojua nini kilichopo kwenye katiba na kwanini tuibadilishe.
Wapo ambao hata mchakato wa katiba mpya ukiletwa watateka Yaliyomo iwe imejaa...
11 "Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo; wakishinda sana hata usiku wa manane mpaka mvinyo imewaka kama moto ndani yao! " Isaya 5:11
"Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;"Waefeso 5:18
-Ujue Mvinyo hutengenezwa kwa kukamua maji ya mzabibu kisha hutokea juisi divai
-Divai inaweza kuwa juisi isiyolewesha na divai inaweza kuwa pombe iliyokaa mda mrefu na hii huitwa mvinyo.
-Yesu alitengeneza juisi ya mzabibu na sio pombe, angefanya hivyo angekinzana na maandoko mengi katika...
Vita dhidi ya ukatili huo ianze na wanawake wenyewe.
-waache kucheza muziki uchi kwenye vigodoro
-Kucheza nusu utupu kwenye video za muziki (utakuta mwanaume kavaa suti mwanamke kavaa chupi)
.Tubaki na hizi video za kuingilia privacy.
.Wakijiheshimu tutapunguza majanga haya,tuko pamoja
Fika soko la samaki ferry,au soko la la samaki kunduchi au soko la samaki Msasani utawakuta maafisa uvuvi, ukitaka mtumbwi utakodisha ukitaka kuvua kwa boti za kisasa fika Dar yatch club/msasani utapata boti nzuri zenye ndoano. Hao. Watakupeleka maeneo ya kuvua
Hapo mahali ni kero ukitokea Tabata/ubungo na ukitokea bandarini
Ushauri
-wanaotokea VETA na Airport sio lazima wapite chini ila wanaopita chini ili kuchepukia
Buguruni.
- Daladala wnaotokea airport wanaleta jam maana kuna kituo hapo Azam kinapunguza kasi ya mtiririko mataa yanaporuhusu watu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.