Kufa kwake ni mapenz ya Mungu na kila kitu kitakufa na tutambue hakuna nafuu ya kifo ila kwa watendao mema, so usishabikie kifo cha mwenzako, jiandae na chakwako.
Hakuna cha ajabu Wenje kufikishwa mahakaman, hili ndio tatizo la wanasiasa fata mkumbo walivyo, badala ya kuleta maendeleo wao ni ghasia na uchochezi tuuu, hebu tuzinduke watanzania! Hakuna heri Cdm ila bora jini likujualo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.