wana udsm mnaoneje tuweze kuungana pamoja ili kudai haki zetu za misingi tukianza na BOOOM? ebu tuache uwoga banah kwani tusip
o angalia hati mae mpaka ------ yetu yatashikwa kiurainii!
nakupenda sana chadema ila ccm ndo naikubali zaidi! Mbona unahaha baada ya kusoma ujumbe huu? Ka vip na ww toa ya moyon haya ni yangu ata hayakuhusu! Chadema chama chawahuni wachache kinacho rubuni akiri za wachache ukiwemo wewe unae taka upingane na mm.
sababu ya kupandisha ada ya wanafunzi wa masters ni baada ya kugundua yakuwa wanafunzi kibao wanahitaji kupata masters zao toka udsm na wengi wao wakiwa wa nje yanchi na wahapahapa bongo pia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.