Kuku wana mifuko ya hewa tumboni inayojulikana kwa jina la air sacs. Mifuko hii ni sehemu ya mfumo wa hewa wa kuku. Inapotokea mifuko hii ya hewa kushambuliwa na vimelea vya magonjwa hasa bacteria ain ya E.coli, hupoteza uwezo wake wa kutunza hewa na hivyo hewa huishia kwenye ngozi. Cha kufanya...
Traffic akikukamata anatakiwa akuandikie notification ambayo unatakiwa ukalipe ndani ya siku saba na upewe stakabadhi. Wengi wetu tunalipa papo hapo na bila ya kupewa stakabadhi na badala yake tunapewa notification tu, kitu ambacho si sahihi. Kwa hiyo mahakamani hupelekwi immediate ilaa ni baada...
Pole sana mkuu, mbegu za mlonge huweza kushusha sukari kwa kiasi kikubwa. Tafuna mbegu moja kila siku huku ukiendelea kupima sukari mara kwa mara mpaka itakapokuwa normal na hapo ndipo utakapoacha kutafuna. Mungu akuponye
If that is the case hata wengine waliowekewa fedha kwenye accounts zao makosa yao yako wapi? Ufisadi kwenye nchi hii uko mpaka kwenye vichwa vya watu wanaoibiwa, tusiwe na double standard katika kutuhumu. Mwizi ni mwizi tu, hakuna kumung'unya maneno hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.