No vyepesi tu, ataenda mahakama za Kenya kuishitaki tazania kwa hiyo mistreatments na akishinda kesi mahakama itailazimisha serikari ya tz kutekeleza hukumu, ikishindikana mahakama ya Kenya itailazomisha serikari kushikilia Mali za tz. Kwa hii kesi ni mtaji kwa huyu mwamba ukizingatia Uhuru wa...
Ki ukweli Salim kikeke anaonesha uwezo mdogo sana wa kuuliza maswali. Ni Kama huwa Hana maandalizi. Huwezi ona amenukuu sheria, hotuba au mlolongo furani wa mambo.
Pia anauliza maswali ambayo ni mepesi sana. Kingine anashindwa kuongoza mhojiwa wake. Hii hupelekea mhojiwa kujibu kadri atakavyo...
Natamani kamanda Siro ajibu swali hili. Na asipo lijibu itakuwa ni fedheha sana kwa jeshi la police. Pia aambatanishe na sheria make hii ni kinyume na civil servant act na regulations zake
Habari ndugu?
Kama sote tujuavyo kuwa kuna fedha zimetolewa kwaajili ya kuboresha uchumi kutokana na athari za Corona. Kwa hili nampongeza sana SSH kwa kuzielekeza kwenye sekta ya elimu. Hii ni kutokana na shule zetu nyingi kuwa katika hari mbaya Sana.
Lakini pamoja na pongezi hizo kuna mambo...
Salimu kikeke ana uwezo mdogo sana. Hii ya kujificha nyuma ya mahojiano kufanyika ikulu haina maaana. Ikisikiliza vizuri utagundua mama alikuwa akijibu anavyotaka na hakukua na maswali fikirishi na yakuibua majibu lengwa.
Ni makosa makubwa Sana mwanzo mwisho wa interview hakuna lejea. Nafikiri...
Habari ndugu?
Jana Rais wetu mpendwa ameongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Ni wazi watu wengi tulisubiri hotuba ya mkuu wa nchi baada ya malalamiko na maneno mengi ya kumtaka afanye hivyo. Hii ilikuwa ni the waiting speech.
Ni dhahili tulitegemea hotuba hii ituelekeze nini tufanye...
Warahi hili Jamaa kwa sasa uwezo wa kufikiri na kuandika umehamia tumboni, kwani walimu wanaolipa kodi wanamishahara mikubwa?? Ngosha chapa ng'ombe weye, sema tu unafiki wa kutaka uteuzi unakuhangaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Jamaa kweli upo bize sana na kusaka cheo kutoka kwa ngosha mwenzeko. Sovereign state wakati mnaua na kuteka watu kila wakati. Ama kweli mtoto mpumbavu ni mzigo kwa *****.
Kumbuka kuna kwenye uharifu wa ubinadam sharia za kimataifa hazifungwi na state sovereignty.
Sent using Jamii Forums...
Sidhani kama unajua maana ya sovereignty state. Rejea madesa yako ya chuo. Sovereignty wakati mnaua, mnateka na kufunga watu kisa kukosolewa??
Upuuzi wako huu kuna siku utasema kwa sababu wewe ni mtu huru, hivyo una haki ya kujiua
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.