Ni Cha nne kutoka kwenye lami mkuu,
lete 4.5m mkuu coz hakuna dalali3m inafaa?
Ni hatua hizo mkuu,ambayo Ni zaidi ya nusu heka hiyoIzo 47 kwa 35 ni hatua au mita?
unaweza kushare picha ya hilo eneo mkuu?lete 4.5m mkuu coz hakuna dalali
Ni kweli mkuu buswelu Ni makazi ya watumishi wa serikali na bnessmen kumeendelea na pamechangamka mnoo,...kihusu umbali nowdays barabara ya lami kupitia kiseke ambayo ndio location kilipo kiwanja chetu imerahisisha usafiri,yaani unadrive kwa lami Hadi city centreNawashauri kwa walio mwanza..tayari furksa hii..Buswelu pazuri
Buswelu eneo limetulia sanaa,sema ni mbal kdg na maeneo ya mji kati.
Sent using Jamii Forums mobile app
usijali mkuu naomba nikutumie hiyo picha kesho,ntakipiga picha then ntakutumia,...karibuunaweza kushare picha ya hilo eneo mkuu?
yes safi sana!Ni kweli mkuu buswelu Ni makazi ya watumishi wa serikali na bnessmen kumeendelea na pamechangamka mnoo,...kihusu umbali nowdays barabara ya lami kupitia kiseke ambayo ndio location kilipo kiwanja chetu imerahisisha usafiri,yaani unadrive kwa lami Hadi city centre
nitashukuru mkuu..na kiwanja hicho hakina morogoro wowote?usijali mkuu naomba nikutumie hiyo picha kesho,ntakipiga picha then ntakutumia,...karibu
ondoa Shaka mkuu,documents zote za mauziano ya awali zipo na viongozi wote wa serikali ya mtaa wanafahamu,...ili kujiridhisha utafanya crosschecking zako pianitashukuru mkuu..na kiwanja hicho hakina morogoro wowote?
ondoa Shaka mkuu,documents zote za mauziano ya awali zipo na viongozi wote wa serikali ya mtaa wanafahamu,...ili kujiridhisha utafanya crosschecking zako pia
Kipo kingine buswelu kwa anjelina. Size 20*25Bado kipo hicho kiwanja??
Kwa Anjelina si ndio kule Kahama? Hicho cha buswelu kilishauzwa?Kipo kingine buswelu kwa anjelina. Size 20*25
bei 3mil.
Kipo maeneo yaliyojengwa tayari na umeme + maji tayari
wasiliana nami 0625750755
Ndio mkuu kule kahama!Kwa Anjelina si ndio kule Kahama? Hicho cha buswelu kilishauzwa?
Hivi ni umbali gani kutoka lami?? Na kimepimwa?Ndio mkuu kule kahama!
cha buswelu sihusiki nacho mkuu
Kimepimwa mkuu. Njoo twende tukakitazame 0625750755Hivi ni umbali gani kutoka lami?? Na kimepimwa?