TAHADHARI KWA VIONGOZI WA UKAWA
Sisi wapiga kura tusha amua kumpigia kura lowasa kazi ya kuisimamia tume na mawakala ni kazi ya viongozi wa juu,,,lkn pia viongozi wa juu wasipokaa makini ccm itatumia mbinu zote kuwachafua kwenye magazeti.
-Yani ss hv viongz wa ccm wanatumia ngv zoooote ili...
Ccm jn walitumia magari ya zakaria,malori ya koka kola lkn kuwasombea watu musoma,geita,bariadi ,trm hd bunda,serengeti,magu nk lkn mkutano wao haukufikia wa ukawa
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kinapenda kuwapa taarifa wananchi wote kuwa kitakuwa kikireport matokeo ya URAIS yatakayobandikwa kila kituo nchi nzima! mtandao wa chama unaoratibiwa na kurugenzi ya uchaguzi ya chama umebainisha azima hiyo baada ya kuwapo mtandao unaotatibiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.