omemegrace
Member
- Aug 23, 2015
- 67
- 28
TAHADHARI KWA VIONGOZI WA UKAWA
Sisi wapiga kura tusha amua kumpigia kura lowasa kazi ya kuisimamia tume na mawakala ni kazi ya viongozi wa juu,,,lkn pia viongozi wa juu wasipokaa makini ccm itatumia mbinu zote kuwachafua kwenye magazeti.
-Yani ss hv viongz wa ccm wanatumia ngv zoooote ili kila tv,kila radio,kila gazeti,kila social media ni magufuli ss viongozi wa ukawa hy ni kazi yenu kujitetea msituangushe maana kura zetu zipo nyngi
HUU NI MUDA WA MWISHO NI MOTO KWA MOTO HAKUNA KUSUBILI,MUDA HAUPO
Sisi wapiga kura tusha amua kumpigia kura lowasa kazi ya kuisimamia tume na mawakala ni kazi ya viongozi wa juu,,,lkn pia viongozi wa juu wasipokaa makini ccm itatumia mbinu zote kuwachafua kwenye magazeti.
-Yani ss hv viongz wa ccm wanatumia ngv zoooote ili kila tv,kila radio,kila gazeti,kila social media ni magufuli ss viongozi wa ukawa hy ni kazi yenu kujitetea msituangushe maana kura zetu zipo nyngi
HUU NI MUDA WA MWISHO NI MOTO KWA MOTO HAKUNA KUSUBILI,MUDA HAUPO