Miaka ya 2010 ndipo nimetoka kijijini huko nimeingia jiji la dar es salaam na ushamba wangu bwana si niko posta mpya pale, nashangaa jamaa mmoja ananisimamisha anajitambulisha kuwa yeye ni askari ananiuliza je nimeangalia taarifa ya habari jana usiku, nilimjibu kua sikuangalia akatokea na jamaa...
Hii barabara kwakwel ni shida ukizingatia ni kiunganishi na nchi za burundi na rwanda nilitarajia serikali ingeliangalia kwa upana wake zaidi. Nahisi ndio maana jamaa hakuenda ngara kukampeni sababu kubwa hii barabara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.