Acheni ung'ombe ninyi! mimi nimehitimu Udom 2011 na tayari nina kampuni yangu ya Bussiness Consulitancy. Kma tuna uwezo duni iweje nmimi nikafungua kampuni kubwa hivi hapa jijini Arusha? alafu ujue kwamba Lowassa ana mashabiki nchi nzima. iweje unawalaumu wanafunzi wa udom tu. je hawana haki ya...
CRDB hawafai kabisa mie nimetoka kabisa. Nimefunga akaunti yangu hivi majuzi japo walinibembeleza sana kwa nini unachota hela na kufunga akaunti nikawadanganya naenda kusoma Masters Norway. Walikoamaa kwamba hata huko nje naweza tumia huduma zao kwa kutumia viza yangu nikawaambia NO. Naenda...
Huwa najiuliza kila kukicha hawa jamaa wa CCM kusema ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WALIMANISHA NINI? Ukijaribu kuangalia Dunia yote ya Democrasia huwezi kuta eti watu wanakumbatia mawazo ya mtu mmoja na kuminya ya wengine eti zidumu fikra za mwenyekiti... Huu ni kunyima mawazo ya wengine na aina...
chuo kipo live ingia gogo angalia tcu utakiona kipo live kina exist na kutambulika sema tu labda kuna tatizo katika utoaji kazi wao ndo mana wadau wanalalamika
Wadau kuna mdau amesema katika kipindi cha TUONGEE ASUBUHI Star Tv kuwa kazi hazipati watu ila watu wanapata kazi ndo maana kuwa low performance. Imekaaje hii mbona sielewi flani
Nikiwa kama mwanachadema hai nimeanza kupata wasiwasi juu ya sisi CHADEMA kuingia Ikulu 2015.
Mimi ninafikiri mbali na jitihada kubwa za ukombozi na vuguvugu la mabadiliko MOVEMENT FOR CHANGE M4C ni lazima tutambue mbinu CHAFU na DHAIFU wanazotumia MAGAMBA kusambaratisha UMOJA WETU na jitihada...
Huna jipya Nauye unashindwa kuwashauri wenzako walioko serikali akiwepo AMIRI JESHI kuwashtaki wezi waliohujumu Taifa unakaa kukagua nani ana kadi ya CCM AU CDM..... Thread yako umenichefua sana wewe uko after malumbano ya vyama... kwani si bora kumiliki hata kadi tatu za vyama tofauti kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.