Vinaweza kushinda lkn, ushindi ni target tu....mbwa mwitu wanamla simba watakavyo tu kwann jiulize...mwisho wa marekani kuwa kinara duniani kijeshi unaanza taratiiibu...
Ukishajiunga na Urussi muhimu kupendwa na wananchi wako tu hata miaka 20 unakaa madarakani maana utalindwa kwa nguvu zote dhidi ya vibaraka wa marekani...
Marekani, uingereza ufaransa...hata Italy serikali haina ndege hata moja unafikiri wao ni vichaa....ndege zote ni za watu binafsi hapo wanatumia nembo ya taifa,serkali faida yao kubwa ni kodi tu basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.