Karibu katika ulimwengu wa V_Game Kwani Hakuna Fani rahisi Duniani kama Kosi Ya Game Developer Kitu Kigumu ktk fani hii ni Game Dsn tu. Kama unahitaji Kujifunza Basi Jifunze Huku Ukiamini Utafanikiwa kwani Kunawatu Watakukatisha tamaa kama huyu Jamaa Chief-Mkwawa. Fani nii inaweza kukubadirishia...
unajuwa ndugu yangu blender ni software kwa ajili ya kumodel na ku-Animation object tu sasa ukisha maliza ku model object yako kinacho takiwa ni kuiingiza katika Engine yako mfano kama unatumia Unity3D hapo ndipo utaitajika kuiCode object yako
Hivi punde nita upload game nyingi sio hilo tu kwani Game ambazo zilizo kuwa tayari ni nyingi na nina subiria zifike Game hamsini ili nikiz-Publish nipate % fulani
unatakiwa ujuwe c# na jav kwani nirahisi sana bofya hapa ili ujifunze kwanza Program Skill kwani huwezi kutengeneza game au kitu chochote kama huijui program husika
Habari WANA JAMIIFORUMS leo nimeamua kukuletea somo ambalo ungelipia katika FORUMS nyingine na somo hilo ni Jinsi ya kutengeneza video game katika Computer yako.
Kabla ya kuendelea ningependa kutegua kitendawili ambacho wengi hamna majibu na ukimuuliza IT ambae yuko karibu na wewe. Na IT huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.