Recent content by omary mziray112

  1. omary mziray112

    Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro yakiri ubovu wa barabara kinyume na kauli ya RC Arusha

    je kama ange report kwa mamlaka husika ilo jambo lingeshughulikiwa kwa wakati au ndo lingepigwa danadana? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. omary mziray112

    Lionel Messi Hana Sifa za Uongozi kama za Cristiano Ronaldo

    Mwwmbie cr7 aipeleke ureno fainali kombe la dunia km messi alafu ndo umpe izo sifa
  3. omary mziray112

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau ivi ukitaka kupata promocode ya meridian unafanyaje
  4. omary mziray112

    Chuo gani kizuri katika kufundisha kozi zinazohusiana na Kilimo?

    Habari zenu wapendwa Nimemakiza kidato cha sita mwaka 2016 nlipata daraja la 3.13 ambayo ni Biology E, Geography D na Chemistry D nahitaji nkasome diploma ya kilimo Wapi naweza kupata chuo na je naweza nikapata ufadhili wa masomo?
  5. omary mziray112

    Ni aibu msomi kufanya biashara ambayo hata asiyesoma anaweza kufanya

    Me naona sio mbaya msomi kufanya biashara moja na asiyesoma ila ubunifu wako ndio utakuweka tofauti na Hugo ambae hajasoma .Pia baada ya miaka kadhaa utakua wap na umebadilika kiac gani na kuboresha biashara yako na kuwa na tofauti hta mteja wako akija anajua kabsa hpa na pata huduma tofauti na...
  6. omary mziray112

    Maombi ya ufadhili wa masomo

    Asante kwa ukweli wako kaka ila me naomba ushauri samahani ka usumbufu
  7. omary mziray112

    Maombi ya ufadhili wa masomo

    nilimaliza advance tangu 2016 niomba chuo ila sikufanikiwa kupata na haliyangu kiuchumi sio nzuri kwa sasa
  8. omary mziray112

    Maombi ya ufadhili wa masomo

    nilimaliza form6 tangu 2016 nlikosa chuo pamoja na mkopo wa kusomesha na hali yangu ni duni braza
  9. omary mziray112

    Maombi ya ufadhili wa masomo

    habari zenu, nimemaliza form6 nahitaji kusoma diploma ya kilimo je naweza kupata ufadhili wa masomo yangu ya kilimo na chuo.marks zangu ni GEOGRAPHY-D CHEMISTRY-D BIOLOGY-E BAM-S GENERAL STUDY-S
Back
Top Bottom