Usiseme Simba na Yanga.Sema yanga ipoteze network,ndiyo iliyobakia kwani Simba tayari imeshapoteza network kitambo si unaona hata jina limebadilika wanaitwa baiskeli ya miti!.....
Leo nilikuwa ninacheza drafti na jamaa mmoja mshabiki wa Simba nikamtangulia kumfunga, baadaye akasawazisha ikawa 1-1 basi jamaa alishangilia sana furaha ilipitiliza mpaka akang'oa viti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.