Recent content by omarsaid

  1. O

    Magufuli yupo wapi

    Naskia wako dodoma wanapanga mikakati manake washaona hali ni mbaya sana hata znz kampeni zimesimama viongozi wote wamejichimbia dodoma
  2. O

    Azam Tv kurusha Mkutano wa Lowassa

    Ukawa wapo itv live
  3. O

    Picha ya overview Ukawa Mwanza na CCM Jangwani Dar

    Leo jangwani aibu watu wa kuhesabu wamepanga viti ili watu waonekane wengi hawaoni hata aibu ila ujanja wao wa kizamani ule
  4. O

    Kamati Kuu ya CCM yakutana saa nne asubuhi, Lumumba

    Si magari ya mizigo yamekatazwa kubeba watu?jeshi la polisi liko wapi?
  5. O

    Tunataka kuona ukomavu wa CCM sasa!

    Na huku ilala wamesema kesho kuna magari halafu watu watapewa kofia fulana na kila mtu atakula buku 5
  6. O

    Wasiwasi wangu jinsi Kura zitakavyoibiwa

    Nina wasiwasi wakati wa kujiandikisha vitambulisho vya kura kwa bvr jamaa wa kupiga picha walikuwa wanapiga picha zaidi ya mara 2 kwa mtu mmoja wanajifanya wamekosea lakini cha kushangaza wanavitoa vitambulisho zaidi ya viwili au vitatu kwa mtu mmoja halafu unapewa kitambulisho chako vile...
  7. O

    Tetesi: Dr Wilbrod Peter Slaa Kupeperusha Bendera Ya UKAWA!

    Ukawa jipangeni shikamaneni inshaallah mungu yuko pamoja na nyinyi msikubali kugawanywa kwa namna yoyote ile wakati ndo huu mnawaona mafisadi wanavyovurugana hii ndo opportunity
Back
Top Bottom