stroke tumia akili,cuf sio mali ya mtu binafc,ni taasiri,hvy km kuna mtu anatishia interests za taasisi hy ni lazima awajibishe kitaasisi,sasa maalim ht amuonee aibu chama c chake,maalim ni muungwana sn,ingelikuwa cuf ni mali ya maalim naamini wangemalizana kikubwa