Ndugu yangu pole sana, wewe unahitaji msaada mkubwa sana tena wa haraka, nipe namba zako ya watsap nikutumie somo la ndoto na namna ya kuombea ndoto mbaya namna kumuomba Mungu akupe tafsiri ya ndoto na ujumbe uliyobebwa na hiyo ndoto. Nina uhakika ukisoma na kuzingatia tatizo lako nitaisha haraka
Pole kwa uliyeibiwa pesa.
Wakuu mimi nahitaji kujua zaidi kuhusu bank ya NMB maana nataka kufungua acount sasa nahitaji kujua je kuna aina ngapi za account ? Na je ni ipi inalipa zaidi ? Asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.