Anazungumzia kurithi hii huwezi kuonesha kwa fomula mkuu kama unavodhani DNA inheritance. Yaani wazazi wote kama uwezo wao wa kiakili upo chini sio rahisi kupata kid mwenye uwezo zaidi yao maana atakuwa amerithi kutoka kwao!👍
Kuna mwenzio humuhumu anataka mume wa miaka 34-45 ebu mtafute akuelezee huenda nawe unapita njia zake, siku hazichelewi madam isije huyohuyo jirani yako alokushika mkono leo asubuhi akaja kukutia moyo uvumilie utapata tu mume!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.