Apana kiongozi mwenzangu tatizo much know sana! yaani yupo kwa ajiri ya kuelewesha na sio kueleweshwa, na hii ndio shida ya kuwaaminisha hadi shemeji zetu kuwa wewe ndio unajua jf nzima sasa ikitokea unabanwa kisawasawa lazima ufiche ball kwapani kulinda heshima ya shemeji. mimi nataka kujifunza...
Hasira sasa mkuu hizo, usi panic swali la kawaida sana hilo nilokuuliza ungekuwa muungwana ungetulia na ukawa mkweli kuwa unaejadili nae anaona ona na siyo mtu kipofu saana, basi baada ya hapo ukawa nawewe unachukua shule kimtindo na sio kujitunisha unamwelesha tu.
Ubongo hauwezi kuziamuru cardiac muscle zisimame au ziendelee kusinyaa na kutanuka kitu ambacho ubongo hufanya ni kuziongezea action au kuzipunguzia ndio kile ulichosema ku adjust, cardiac muscles zina source yake ya elctrical signal ambayo ndio SAN, Ipo chini kulia mwa moyo, kwa hiyo ukisema...
Kwa hiyo electrical impulses zinazomaintain heart beats hazitoki kwenye ubongo? kwa hiyo kinachomaintain mapigo ya moyo ni SAN na sio homeostasis maana huwezi kutaja homeostasis ukautenga ubongo
Umeongea kitu kipana sana mkuu, sema ukweli hata mimi ni asilimia za uelewa japo siyo sana kwa hiyo nikikuuliza nataka tujadili tu na sio sio kwamba sijui kabisa! Sasa ukisema homeostasis hiyo condition ambayo ipo chini ya ubongo pamoja na hormonal system. Sasa mkuu ebu turudi kwanza kwenye...
Hata akihukumiwa atakuwa kahukumiwa na mashetani zaidi yake bora hata huyo abaki wale wanaomshitaki wanyongwe kwa ubaya wao waliofanya siku nyingi. Viva viva TAL
Moyo hauhusiani na hisia sema tumefunikwa na local believes tu maana hata wanasanaa huwa wanatoa maudhui wakihusisha moyo, kuna feeling zinakuja ambazo unaweza kuamini moyo unataka jambo lakini sio kweli hapo moyo hushirikishwa na ubongo tu hasa kwenye kusukuma damu ipeleke vitu muhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.