Recent content by olmo

  1. olmo

    JamiiForums Tanzania Hispania imekuwa timu ya kwanza kupata pete za ubingwa katika historia ya Kombe la Dunia

    Kaka sema unanisahau sana daa🙆🙆
  2. olmo

    JamiiForums Tanzania 90% ya ukilaza wa mtoto chanzo ni wazazi

    Anazungumzia kurithi hii huwezi kuonesha kwa fomula mkuu kama unavodhani DNA inheritance. Yaani wazazi wote kama uwezo wao wa kiakili upo chini sio rahisi kupata kid mwenye uwezo zaidi yao maana atakuwa amerithi kutoka kwao!👍
  3. olmo

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Kuna mwenzio humuhumu anataka mume wa miaka 34-45 ebu mtafute akuelezee huenda nawe unapita njia zake, siku hazichelewi madam isije huyohuyo jirani yako alokushika mkono leo asubuhi akaja kukutia moyo uvumilie utapata tu mume!
  4. olmo

    JamiiForums Tanzania Je, Lionel Messi ana nafasi ya kushinda Ballon d'Or 2026?

    Mbappe, kana na olise wanaingiaje hapo? wamzidi dembele na ruiz fabian ambao wana uefa? au nayo hiyo tuzo inahitaji tume huru ili ichunguzwe?
  5. olmo

    JamiiForums Tanzania Natafuta mume umri kuanzia miaka 34 hadi 45 ili tumalizie pamoja maisha yetu yaliyobaki hapa duniani

    Jamaa yangu naona kwenye card nyekundu hupotezi muda unampa tu alostahili
  6. olmo

    JamiiForums Tanzania Simuelewi Mke wangu

    MKiwa kwenye tendo anafurahia? na anafika kileleni? nakuuliza ivo si kwa kejeri nataka nishee nawewe taarifa fulani!
  7. olmo

    JamiiForums Tanzania Elite home tuition services

    Kaka mbona unacheka?
  8. olmo

    JamiiForums Tanzania Elite home tuition services

    Mimi nataka mwanangu afundishwe english nipo kilosa morogoro
  9. olmo

    JamiiForums Tanzania Elite home tuition services

    Mpo nchi nzima?
  10. olmo

    JamiiForums Tanzania Messi and Yamal will meet again in the 2026 World Cup final

    Etiii sawa kaka tumsapoti mkubwa kweli maana anapambana sana
  11. olmo

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na Demu wa Kiarabu Toronto. Amenifundisha jambo la ajabu sana

    Hizi story huzipitagi nakujua!😁😁
Back
Top Bottom