Recent content by Olle

  1. O

    Nipo njiapanda, msaada wenu wanaJF

    Ingiza hiyo IST kwenye UBA....unatapata hela ya kula for a while...
  2. O

    Bungeni: Spika Ndugai amsimamisha Stephen Masele uwakilishi wa Bunge la Afrika. Bunge limeteua mkaguzi kumkagua CAG

    Nafikiri NAO ndio wamekaguliwa, ukisema unamkagua CAG unaenda kwenye zile mandated activities kikatiba kama anafanya kazi zake sawasawa kama ilivyoainishwa kwenye katiba....Mbali na hivyo sioni kama CAG anakaguliwa.
  3. O

    Mhudumu wa kike wa maabara hospitali ashitakiwa kwa kuzaa na maiti

    Kuna ugumu sana ktk kuamini hili
  4. O

    Amenisomesha, kaninunulia gari lakini sina mapenzi naye

    Kati ya washamba,nafikiri wewe ni msamba namba moja.Pamoja na elimu uliyosaidiwa kupata still you can't reason. Bila wewe kusomeshwa nafikiri ungeendelea kuwa kama alivyo huyo mpenzi wako kielimu.Cha muhimu upendo wa kweli hauchagui elimu,dini,kabila,rangi,rika nk. Better kutafakari...
  5. O

    Juliana Shonza: Mimi bado ni Makamu Mwenyekiti BAVICHA...!

    Tafakuri ya kina inahitajika sana,sio vizuri kukimbilia kupondana na kukwepa hoja ya msingi.Ingekuwa vema kama ungekuja na hoja za msingi kuliko kukiponda chama na wakubwa wa chama.
Back
Top Bottom