*BARUA YA WAZI KWA MKUU WA MKOA WA DAR. MH.PAUL MAKONDA*
Habari ya majukumu mkuu wa mkoa wa Dar,mh.paul makonda natumai unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku.
Mimi naitwa *Abdul Omari Nondo* ni mtanzania ,pia ni mkazi wa mkoa wako maeneo ya ubungo.mh.paul makonda ni leo baada ya...
Maalim Seif kutua Arusha Kesho.
Makamu wakwanza wa Rais Mstaafu Zanzibar na Katibu Mkuu wa Cuf Mhe.Maalim Seif atafika Arusha siku ya jumamosi saa 5:00 kamili asubuhi,atakapowasili Mhe.Maalim Seif atapokelewa na Viongozi wa Chadema Kanda ya Kaskazini na viongozi wa Chadema Mkoa wa Arusha,na...
Kuhusu Vodacom kuwa shahidi upande wa Jamhuri
Kampuni ya simu ya vodacom imekubali kutoa ushahidi dhidi ya kesi inayomkabili Mh Lema mbunge wa Arusha mjini!
Kampuni ya iphone ya Marekani ilikataa kutoa ushirikiano kwa Serikali ya Marekani kwa kuwa kufanya hivo ni kuingilia uhuru binafsi wa...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kanda ya Arusha leo imewasomea Mashtaka(Kesi ya Jinai namba 351) washtakiwa wawili ambao ni Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe.Godbless Jonathan Lema na Mke wake Neema Lema shauri hilo limekuja kwaajili yakusomwa.
Watuhumiwa hao wawili wanashtakiwa kwa kusambaza ujumbe...
Breaking Newwwwwwwwww....
MH. Edward Ngoyai Lowassa amekamatwa muda huu akiwa mjini Geita na sasa anashikiliwa kituo cha Polisi Wilaya ya Geita.
Hajajulishwa bado kosa lake au sababu hasa za kushikiliwa na Polisi
[emoji101][emoji101][emoji115]Hotuba rasimi ya mh.Rwakatare kwa jpm bukoba,kile kipande kilichokuwa kinarushwa ktk mitandao nikama kilikatwa kwa lengo maalum,nahisi ni watu wa mtaa wa Lumumba.
TAARIFA-CHADEMA KANDA YA KASKAZINI
Waziri mkuu mstaafu na Mjumbe wa kamati kuu Chadema Taifa, Edward Lowassa pamoja na Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye wataongozana na Katibu wa kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa na Madiwani wa Jiji la Arusha wakiongozwa na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.