Mbona rais wa China alipokuja nchini alikuwa anaongea Kichina ,hivi watanganyika naona ametuloga kuwa kuongea kingereza ndio maendeleo, ebu tubadilike,JPM siyo Rais wa Uingereza ni wa TZ ambao wengi wao wanaongea kiswahili. HAPA NI KAZI TU
Asante kwa ujumbe wenye hekima. Ndugu zangu tumwombe Mwenyezi Mungu atusaidie katika taifa tuna kila sababu ya kuomba. Tujiulize hawa wanaotumia pesa kuwachafua wengine, kuwatukana mbele za wazee , vijana na watoto mbele za majukwaa na vyombo vya habari ndio kuona wao wana akili? Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.