ahahah hahah you made my day umenifurahisha sana kwa reference ya chechinia . . lakini hapana huu ni ukombozi wa Tanzania yote usiwe na wasiwasi wa masuala ya ukanda hakuna jambo kama hilo ukawa ni timu ya watu makini kwa ukombozi wa tz mpya! join the move , lets go!!
Nimesikitishwa sana na huyu mzee especially basing on reasons alizotoa kwa kweli hazina mashiko kabsaaa!! but anyway jahazi na liendeleee, wanamageuzi tupo wengi na kwa movement hizi watazaliwa wengi zaidi . . nenda mwaliiiimu . . with or without you we are determined to reach there . . alwayz...
kitengo cha mikopo cha hawa jamaa hapo arusha ndo hovyooo kabisaa usumbufu, ucheleweshwaji na poor customer service yaani wana uwezo mdogo sana na ufinyu wa weledi kushughulikia issues za customers , very rigid! na unnecessary disturbance mariam , muro khaah!!
mbaya zaidi ni kuwa hii familia ya kifalme inatumia eneo hilo kufanyia ufuska na ufirauni wa hali ya juu, wanaagiza direct makahaba wa viwango vya kimataifa from Brazil, europe na states kiwagegeda na si unajua hawa watu na kula jicho tena , na wanafanya hivi coz kule kwao anasa za pombe na...
kimsingi JK yupo kwenye sintofahamu ya aina yake hivyo simshangai kuona akipanic , ana woga ila anakakamua ujasiri asionao atleast kuwajengea magamba imani kwamba stil wapo on track ila kazi ipo watajibeba just wait . .
hapo sawa mkuu nakubaliana na ww mia- mia , coz cha msingi ni ku focus on strategies to remove ccm en up roots mfumo didimizi uliopo kwa ajili ya kuingia zama za tz mpya, dr nadhani anatambua na anapaswa kuungana ktk hii common goal, we cant b opposition for ever!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.