Huyu jamaa hata kama anaushawishi mkubwa kwa watu. Tulipo sasa yatosha unafiki mbaya bora wamfukuze kabisa. Wasisikilize hata rufaa yake. Wanatuchezea akili zetu kama midori vile MFUKUZENI TU HAWAFAI TENA HUYO
Zito ni binadamu wa kawaida kama wengine hivi tunajadili ni kuwa na uhakika kama wamekiuka misingi au la kumbuka waliomvua nyadhifa ni watu na akili zao timamu hawajakurupuka sasa yeye na wenziwe waprove kama hawajatendewa haki. Ndani ya chama chao kuna ngazi zote muhimu zinaweza kuwasikiliza...
Uaminifu haupo tena suala la kusaidiana katika elimu ni makubaliano yenu but dada nawashauri waache utapeli wa mapenzi. Na sio kusomeshana tu siku hizi hasa maboss ofisini wanafanya sana hii michezo na wake za watu tena unakuta wote wapo kwenye ndoa zao. Dini zote zinakataza uzinzi. Cha msingi...
Kuna wagonjwa kibao mahospitalin kwa nini hawawapi misaada wanapeleka misaada kwa watu wanaoweza kujijengea nyumba za kuabudia wenyewe au angenunua matrekta akatoa misaada kwa vijana ambao anawaita ni bomu kwani hawana ajira.
Acheni kutumia hizo lugha zao wakati mwingine tatizo kama hili ni sawa na matatizo mengine ya elimu mbovu afya mbovu rushwa hata kama Magufuli alitulejeli bado ni mwenye mamlaka na hili suala wakati mchango wako wa mawazo unakuwa ni bora zaidi unapotipia constructive idea haitatusaidia...
Nimewapata mawazo yenu King Kong na Bull lakini eleweni kuwa si wote wanatoa elf 10 hata pale unapotoa noti ya mia 5 kukata tiket 2 unaambiwa hawana chenji sasa hapa si ni kulazimishwa uache hela yako. Hata kama unatoa elf 10 ni wajibu wao kukupatia chenji maana umetoa hela kamili isiyo pungufu...
Tatizo ni letu wenyewe serikali walishaweka tozo la hizi pesa zinapotumwa iwe kupitia simu au benki sasa hiyo kodi jiulize nani anailipa kwa serikali kama sio wewe mtumiaji? Amkeni msidanganywe kodi lazima ilipwe kwa tra
Cha msingi ni kuboresha huduma maana kuna wagonjwa nk pia customer care ya hawa wahudum wa tkt ni mbovu kabisa tushirikianeni kurelebisha haya Magufuli tunamkumbusha tabia za hawa watu wake wanakera sana.
Kumekuwa na tabia ya hawa wanaotoa tiketi hasa wakati wa asubuhi kuzuia watu wasivuke kisa hawana chenji tunakuomba Dr Magufuli ufuatilie hili suala hapa kigamboni. Fanya ziara ya kushitukiza muda wa asubuhi ujionee pia tunaomba masirisha ya tiketi yaongezwe kama upande wa magogoni ili kuondoa...
Tatizo lao kubwa shule ndogo wanalazimisha fani ya uigizaji wanachojua ni kuigiza mapenzi. Jamii inasumbuliwa na rushwa, huduma mbovu za elimu maji afya hata hawa wa bongo fleva nyimbo asilimia 99 ni mapenzi sasa wanafundisha nini kwa Jamii RIP Kanumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.