Naam hili halina ubishi.
Morogoro kumekuwa na migogoro mingi sana ya ARDHI ambapo chanzo ni matapeli kuuza maeneo ya watu.
Matapeli wa Morogoro wanatamba Wanavyotaka na wanatapeli pesa nyingi sana kupitia kuuza maeneo ya watu, wamekuwa na kiburi Kwa vile mgao wanapeleka Kwa wakubwa wa polisi...
Hili unalosema ni kweli lakini bado narudia elimu yetu inampumbaza mtoto zaidi kuliko kumtengeneza ajiamini katika kupambana, ni kweli kiswahili kwa sasa kina demand kubwa huko nje lakini wanaongoza kuchangamkia fursa hiyo ni wakenya na waganda ingawaje hawakijui vizuri kama sisi.
watoto wetu...
Hili unalosema ni kweli elimu yetu inampumbaza mtoto zaidi kuliko kumtengeneza ajiamini katika kupambana na maisha.
Kijana akishakosa ajira za ndani anakuawa hana plan nyingine na kibaya zaidi hana uwezo wa kushindania ajira za kimataifa, ni muoga, hajiamini hata kujieleza tu anashindwa
Mimi...
Mwanangu hongera kwanza kwa kusoma nje binafsi nimefarijika sana kuona umechukua mda wako kuwa unawajuza vijana wenzako wa Tanzania kuhusu fursa mbalimbali zilizoko huko ng'ambo.
Umeandika vizuri na andiko limeeleza kwa mapana sana lakini napata mashaka na hawa vijana wetu huku nyumbani...
Vijana wa hapa nchini sio wachangamkiaji wa fursa katika mataifa ya mbali hii habari ingekuwa imeanzishwa kwenye majukwaa ya Kenya, Uganda au Rwanda ungeona hata maswali yangekuwa ya hamasa na shauku ya kuchimbua zaidi. Ukipitia reply za wachangiaji unaweza usikute swali la maana au yakawepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.