Jamani ili suala la NSSF limekuwa ni tatizo kubwa sana japo watu wamelifumbia macho ķama hawalioni. Tulizoea zamani unapokosa kazi hasa hizi kampuni zetu za private kimbilio lilikuwa ni vimichango hivi tulojikusanyia wakati tukiwa kazini.
Lakini kwa sasa hali ni mbaya sana unakosa ajira...
Wakuu mm napenda kuuliza kwa hapa morogoro kama kuna mafundi wazuri wa kudesign muonekano wa ndani wa gari kwa bei reasonable hasa kwa kuzingatia hii hali ya sasa ya mzee magu
Umeona ulivyokosa pesa sasa hapa ulipoitaja bei umepungukiwa na nn? Inamaana mtu akiuliza mtaan akaambiwa 130000 lazma akurudie atakumbuka kuna jamaa alitangaza kwa 110 hvyo ndo biashara ufanywa mm ni mfanyabiashara naelewa ili ninalokwambia kama mfanyabiashara mwenzang
We utakuwa dalali kuna cha juu hutaki boss ajue bora usitangaze biashara zako kama unaficha bei. Bei ndo kitu pekee knachomshawishi mtu mpaka anaanza kudadisi mengine nakupa siri hyo ndo kiunganishi/kichocheo cha biashara yako vinginevyo usitangaze maana huku mtaan yapo kibao maduka ya betry nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.