Naona unataka leta hoja kwamba Hillary apokwa ushindi,,,,listen yule mama japo kuwa Sera zake zilikuwa rafiki kwa makundi yote...Muslims,Latinos na colored na upepo ulikuwa unaonyesha anashinda ...ila look wat happen ,,,,,over sudden ...
MY TAKE:kionogoz wa nchi iliyokomaa kidemokrasia ka USA...