Recent content by Olaigwanani lang

  1. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbowe: Mimi sijachoka, ukomo wa madaraka ni watu wanaokutaka au kukukataa

    jamani si kura zitapigwa...msingi wa demokrasia ni :WENGI WAPE;
  2. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila Mkumbo: Waliopinga DP World wajitokeze hadharani wakiri mafanikio

    uchomaji wa fedha za wanachi masikini....hata ukjiuliza lisingekuwepo leo kuna hasara gani kw nchi?
  3. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha - Novemba 27, 2024

    ccm wanategemea mbeleko tuu hawana jipya,ila mwaka huu tutafia wote kwenye boksi la kura Mama Yangu....
  4. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mzee Alhaj Luteni (Mstaafu) Yusuf Makamba M/kiti CCM Bara

    Hapana! Makamu Mwenyekiti ni kati ya Kitenge na Mwijaku.
  5. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania Tulipo Tanzania na Tunakoelekea....Amkeni...!!

    HABARI ZA MUDA HUU WATANZANIA WENZANGU NIMEKAA NA KUTAFAKARI SANA JUU YA MSATAKABARI WA HII NCHI YETU LAKINI SIONI MATUMAINI YEYOTE. TUNAVYO VYOMBO VYA SERIKALI KAMA VILIVYO AINISHWA KATIKA IBARA YA 4 YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA 1977, AMBAVYO NI:- 1. BUNGE LA JAMHURI YA...
  6. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania Mikakati ipi itumike kuongeza idadi ya walipa kodi kutoka Milioni 3 hadi 30

    Kama wanalipwa wake wa viongozi pesa za bure . Ngojeni nao waondoke duniani utaona miswada ya kuwalipa watoto wao hadi vilembwe ... Kwa nini nchi isifilisike?
  7. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania Leo katika Historia: Dkt. Salim Ahmed Salim

    SALIM AHMED SALIM; MWANASIASA MWENYE AKILI, MTULIVU, WAZIRI MKUU MSTAAFU, MWANADIPLOMASIA MKONGWE NA CHAGUO LA NYERERE KAMA MRITHI WAKE ILA FITNA ZA WAZANZIBARI NA UNYERERE UKAMPONZA, IKAMFANYA ACHUKIWE NA KUGEUKA LULU ISIYO NA THAMANI. Na. Comred Mbwana Allyamtu -CMCA Monday 1/1/2023 (🧵Uzi...
  8. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Makamu wa Rais si Mungu, ukiumwa sema, ukisafiri kikazi sema

    Nawashangaa sana watu wenye hasira wananchi wanapouliza kiongozi wao yupo wapii?? Kama uyu anayesema lema ni mpumbavu..... utafikiri yeye ni mtoto wa V.P....ana Stress tupu......hawa ndio wale chawa tena wasiolipwa...
  9. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania Askofu Munga: Moyo wangu umeugua kwa dhuluma KKKT waliyomfanyia Askofu Bagonza

    Hawasemi ukweli kwa nini walitolewa kwenye kikao... Ipo shida kwa hao watu wawili lakini wapambe wao hawa kina Munga hawasemi ukweli lakini watu tunaijua
  10. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania TANZIA Askofu Mstaafu wa Dayosisi ya Kaskazini ( KKKT) Dkt. Erasto Kweka afariki Dunia

    Kwa heri Baba yetu...wewe ndiye ulizaa dayosisi yetu ya Arusha ukamweka Askofu Laizer kazini pale usharika wa Ngarenaro mwaka 1988. "IRUVANI NKUNDI"
  11. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania Wananchi wa Longido Wafukuzwa kwenye vijiji vyao

    Ndugu wana jf ni siku za karibuni tuu wananchi wa Loliondo ngorongoro wameondolewa kwenye maeneo yao ya asili...na sasa zoezi hilo limeshaanza wilaya ya Longido ambapo vijiji zaidi ya 30 vya mlima wa Ketumbeine na Gelai wameambiwa waondoke haraka kwenye maeneo yao ambayo wameishi kabla hata ya...
  12. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania Arusha: Daladala zagoma tena Arusha, leo Agosti 14, 2023

    Ndugu wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla mkuu wa mkoa wa Arusha, mkurugenzi na mamlaka husika za usafiri walipaswa wawe waneshatumbuliwa mpaka sasa kutokana kushindwa kutatua mgomo uliopo wa magari ya usafirishaji ulioleta adha kwa wananchi mara ya pili sasa ndani ya muda mfupi. Hali ni...
  13. Olaigwanani lang

    JamiiForums Tanzania Ukoloni unarudi Tanzania?

    Tumbo kitu hatari sana wandugu
Back
Top Bottom