Ghana wapo kwenye mchakato wa kupitisha Sheria ya kuwaruhusu wananchi wenye uraia nchi nyingine(diaspora) kuwa na fursa ya kugombea ubunge na kuwa na haki ya kuteuliwa nafasi ya uwaziri! Cha ajabu nchi yetu diaspora haruhusiwi hata kumiliki shamba kwenye nchi yake ya asili!
Hivi changamoto hasa...
Mkuu unatka kusema polisi wapewe mamlaka kamili? Hivi TU wamepewa mamlaka kidogo huku wakisimamiwa na wanasiasa lakini bado wanatuua km kuku! Sasa wakipewa mamlaka wafanye wanavyotaka si utakuwa balaa
Mimi yalishanikuta, nilirudisha mpira kwa kipa baada ya maisha kuwa magumu! Aisee treatment niliyopata kutoka kwa wazazi sitokaa nisahau! Nilikuwa natukanwa nadhalilishwa kama mtoto mdogo na mwisho nilianza kupigwa makofi just imagine kijana wa miaka 28 unapigwa eti kisa umetoka asubuhi bila...
Mkuu kwa case ya warabu wanaishi pamoja na hizo drama za familia huziskii ni kwa sababu wanawake wamedhibitiwa sana kwenye tamaduni zao ...na wanawake Huwa ni chanzo kikuu Cha vurugu kwenye familia nyingi. Kwa warabu mwanamke akianza kuleta fyoko fyoko za kugombanisha wana familia anapewa talaka...
Wabongo tulio wengi ni wagumu sana kubadili fikra kwenye mambo mapya ndio maana mpaka Leo tunaamini vyakula ni wali na ugali pekee yake ukipika viazi mbatata km chakula Cha usiku watu wanakushangaa
YAani mkuu washabiki wa hizi timu wamekuwa wapumbavu wa kujitakia yaani hawataki kuskia kitu kingine zaidi ya ushindi...arsenal anaongoza na hajashinda mechi zaidi ya kumi saba ametoka droo na tatu amepoteza lkn huskii makelele ya mashabiki wajinga wajinga km huku kwetu na wasipopata matokeo...
Wenzenu pia wanejiandaa ili washinde mechi ...tatizo letu washabiki wa Simba na yanga mnaamini timu zenu zimetoka mars hazitakiwi kufungwa wala kutoka droo. Msipopata matok
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.