Recent content by oladipo

  1. O

    JamiiForums Tanzania Hii nchi ya Ghana mambo yake kama haipo Africa vile

    Hizo sababu mbona hazina mashiko kwenye huu ulimwengu wa sayansi na teknolojia
  2. O

    JamiiForums Tanzania Hii nchi ya Ghana mambo yake kama haipo Africa vile

    Hawa jamaa maturity Yao kwenye siasa ipo juu sana. Huku kwetu watu mpaka wanaua ili waendelee kukaa madarakani
  3. O

    JamiiForums Tanzania Hii nchi ya Ghana mambo yake kama haipo Africa vile

    Ghana wapo kwenye mchakato wa kupitisha Sheria ya kuwaruhusu wananchi wenye uraia nchi nyingine(diaspora) kuwa na fursa ya kugombea ubunge na kuwa na haki ya kuteuliwa nafasi ya uwaziri! Cha ajabu nchi yetu diaspora haruhusiwi hata kumiliki shamba kwenye nchi yake ya asili! Hivi changamoto hasa...
  4. O

    JamiiForums Tanzania Mahita: Jeshi la Polisi halihitaji Waziri, linajiendesha lenyewe

    Mkuu unatka kusema polisi wapewe mamlaka kamili? Hivi TU wamepewa mamlaka kidogo huku wakisimamiwa na wanasiasa lakini bado wanatuua km kuku! Sasa wakipewa mamlaka wafanye wanavyotaka si utakuwa balaa
  5. O

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Mimi yalishanikuta, nilirudisha mpira kwa kipa baada ya maisha kuwa magumu! Aisee treatment niliyopata kutoka kwa wazazi sitokaa nisahau! Nilikuwa natukanwa nadhalilishwa kama mtoto mdogo na mwisho nilianza kupigwa makofi just imagine kijana wa miaka 28 unapigwa eti kisa umetoka asubuhi bila...
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Undugu wetu, uendelee tu kukutana kipindi cha misiba tu?

    Ndio ivo mkuu! Fanya uchunguzi, kwenye familia nyingi wanawake Huwa ni chanzo Cha vurugu kwenye familia
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Undugu wetu, uendelee tu kukutana kipindi cha misiba tu?

    Mkuu kwa case ya warabu wanaishi pamoja na hizo drama za familia huziskii ni kwa sababu wanawake wamedhibitiwa sana kwenye tamaduni zao ...na wanawake Huwa ni chanzo kikuu Cha vurugu kwenye familia nyingi. Kwa warabu mwanamke akianza kuleta fyoko fyoko za kugombanisha wana familia anapewa talaka...
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Undugu wetu, uendelee tu kukutana kipindi cha misiba tu?

    Wenzetu kina nani? Maana hio statement Yako Iko tofauti sana na wahindi na warabu
  9. O

    JamiiForums Tanzania Boni Yai jukwaani Kahama: Achambua "mikataba ya day waka" ya CCM kwa Jeshi la Polisi, ajira zao, vyeo, mishahara, pensheni kandamizi

    Haya wewe mwenye kichwa kidogo na mwili ndogo tupe uchambuzi wako wa mishahara ya jeshi la polisi
  10. O

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Kwa hali hii wabongo tutazidi kuwa maskini!!

    Wabongo tulio wengi ni wagumu sana kubadili fikra kwenye mambo mapya ndio maana mpaka Leo tunaamini vyakula ni wali na ugali pekee yake ukipika viazi mbatata km chakula Cha usiku watu wanakushangaa
  11. O

    JamiiForums Tanzania Hoja za Warioba zijibiwe, zisipigwe Rungu!

    Hoja zote ni nzito! Watawala wanaona Bora kukaa kimya kuliko kuzijibu
  12. O

    JamiiForums Tanzania Trump: Meli itakayolipa ushuru kwa Iran kukamatwa

    Hii comeback huyo jamaa hawezi kurudi tena
  13. O

    JamiiForums Tanzania Usitishaji vita uko karibu kuvunjika, Iran inajiandaa kuitenga Israel katika mchakato wa mazungumzo kutokana na shambulio dhidi ya Lebanon

    Mkuu acha chuki! Mbona saudia nchi ya waislamu na imepiga hatua?
  14. O

    JamiiForums Tanzania Hizi teams ambazo tumegoma kuzipa Ufadhili msimu huu zikicheza nasi zinauma sana meno

    YAani mkuu washabiki wa hizi timu wamekuwa wapumbavu wa kujitakia yaani hawataki kuskia kitu kingine zaidi ya ushindi...arsenal anaongoza na hajashinda mechi zaidi ya kumi saba ametoka droo na tatu amepoteza lkn huskii makelele ya mashabiki wajinga wajinga km huku kwetu na wasipopata matokeo...
  15. O

    JamiiForums Tanzania Hizi teams ambazo tumegoma kuzipa Ufadhili msimu huu zikicheza nasi zinauma sana meno

    Wenzenu pia wanejiandaa ili washinde mechi ...tatizo letu washabiki wa Simba na yanga mnaamini timu zenu zimetoka mars hazitakiwi kufungwa wala kutoka droo. Msipopata matok
Back
Top Bottom