Nilivyomuelewa mleta mada tatizo sio hio elfu kumi tatizo ni kukosa ustahimilivu kutoka kwa jamaa licha ya kumpa dili kadhaa hapo nyuma yaani kwa kifupi jamaa hana shukrani
Tafsiri Yako sio sahihi. Amesema hao wanaosoma Sharia law warudishwe bukina Faso watakaogoma ndio watavuliwa uraia ...yaani mpaka hapo ushapotosha watu wengi sana next time kuwa makini
Kuwapigania ndio isiwe sababu ya kuanzia kuwauzia madawa ya kulevya na kuwaibia ...nchi Yao mmegeuza km soko mmejazana mpaka wenye nchi hawapumui mnafanya uhalifu mmejazana kwenye jela zao mnakula Bure hospital mmejazana mpaka wenyeji wanakosa vitanda, mmegeuza watoto wao wamekuwa mateja...
Chuki za kidini ni hatari kwa mustakabali wa amani ya Dunia! Mleta mada andiko lako umeliandika kwa mlengo wa kidini ingawa umejitahidi kujificha ila wenye d 3 tumegundua
Wakuu naombeni msaada wa video downloader ambayo isio ya kulipia maana nimejaribu kulipia snapany inakuwa inakataa ...ningefurahi zaidi kupata ya ku copy na ku paste link .... shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.