Recent content by oladipo

  1. O

    Hizi teams ambazo tumegoma kuzipa Ufadhili msimu huu zikicheza nasi zinauma sana meno

    YAani mkuu washabiki wa hizi timu wamekuwa wapumbavu wa kujitakia yaani hawataki kuskia kitu kingine zaidi ya ushindi...arsenal anaongoza na hajashinda mechi zaidi ya kumi saba ametoka droo na tatu amepoteza lkn huskii makelele ya mashabiki wajinga wajinga km huku kwetu na wasipopata matokeo...
  2. O

    Hizi teams ambazo tumegoma kuzipa Ufadhili msimu huu zikicheza nasi zinauma sana meno

    Wenzenu pia wanejiandaa ili washinde mechi ...tatizo letu washabiki wa Simba na yanga mnaamini timu zenu zimetoka mars hazitakiwi kufungwa wala kutoka droo. Msipopata matok
  3. O

    Kwa pamoja tuunge mkono kazi tukufu inayofanywa na USA / Israel

    Iran wamewahi kukufanyia unyama Gani we km mwafrika mpaka unaichukia ivi?
  4. O

    Kinachoendelea Vita ya Iran kimeithibitishia dunia na kuipa uhalali Marekani wa kuidhibiti Iran

    Ukiangalia kwa undani unagundua mleta mada udini unakusumbua huna lolote
  5. O

    Jafo: Vingunguti, Tandale na Buguruni pavunjwe pajengwe Maghorofa

    Wahamie vikindu au homboza wapewe viwanja Bure na fidia juu yake
  6. O

    Naendelea kuilaumu TFF na mashabiki wapuuzi wa Tanzania kisa Al Hilal FC

    Mleta mada una point ila wabongo wengi hawatokulewa! Waliogopa utawala wa timu zao za kkoo ungefika mwisho na timu zao za kkoo ndio zinafanya waishi. Pia serikali inazitumia kufanya propaganda ...al hilal wangeingia wangeharibu Kila kitu
  7. O

    Kusema ukweli nchi ya Rwanda ni nzuri sana

    Rudia kusoma post ya mleta thread otherwise umeamua kujifanya punguani makusudi
  8. O

    Kusema ukweli nchi ya Rwanda ni nzuri sana

    Mie ni mbongo na nishafika mikoa 19 nchi hii.kote nilipopita ni shithole miji michafu Kila Kona na boda boda wanavunja Kila Sheria ya barabarani na trafiki wanachekelea
  9. O

    Kusema ukweli nchi ya Rwanda ni nzuri sana

    Tuonyeshe huo mkoa mmoja wa Tanzania ambayo umepangiliwa na msafi km rwanda
  10. O

    Mbunge Musukuma uwe unatumia akili, sio kutaka sifa zisizo na mashiko. Wewe umesoma na una PhD

    Huyo mwekezaji sio yeye anaewekeza ametumwa na chama... Kwa io ngoma
  11. O

    Sweden na Finland sasa hivi kuna njaa kali, msijisumbue kutamani kuja

    Chaka la kueleweka Huwa ni marekani TU! Ingawa nako trump kaanza kuleta unoko
Back
Top Bottom