YAani mkuu washabiki wa hizi timu wamekuwa wapumbavu wa kujitakia yaani hawataki kuskia kitu kingine zaidi ya ushindi...arsenal anaongoza na hajashinda mechi zaidi ya kumi saba ametoka droo na tatu amepoteza lkn huskii makelele ya mashabiki wajinga wajinga km huku kwetu na wasipopata matokeo...
Wenzenu pia wanejiandaa ili washinde mechi ...tatizo letu washabiki wa Simba na yanga mnaamini timu zenu zimetoka mars hazitakiwi kufungwa wala kutoka droo. Msipopata matok
Mleta mada una point ila wabongo wengi hawatokulewa! Waliogopa utawala wa timu zao za kkoo ungefika mwisho na timu zao za kkoo ndio zinafanya waishi. Pia serikali inazitumia kufanya propaganda ...al hilal wangeingia wangeharibu Kila kitu
Mie ni mbongo na nishafika mikoa 19 nchi hii.kote nilipopita ni shithole miji michafu Kila Kona na boda boda wanavunja Kila Sheria ya barabarani na trafiki wanachekelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.