Recent content by oladipo

  1. O

    JamiiForums Tanzania Mtu mliezoeana anapokubadilikia ghafla kwajili ya pesa, ndipo unapogundua si kila tabasamu lilikuwa la kweli. Nimevunja rasmi mazoea ya miaka miwili

    Nilivyomuelewa mleta mada tatizo sio hio elfu kumi tatizo ni kukosa ustahimilivu kutoka kwa jamaa licha ya kumpa dili kadhaa hapo nyuma yaani kwa kifupi jamaa hana shukrani
  2. O

    JamiiForums Tanzania Kaizer Chiefs imemtangaza rasmi Adolf Mtasingwa kuwa kiungo wao mpya kutoka Azam FC

    Amesharidhika naskia Azam wanamlipa 50 milion
  3. O

    JamiiForums Tanzania World Cup Final: Spain 1-0 Argentina | Julai 19, 2026: | Metlife Stadium | Spain Bingwa

    Argentina waktangulia kupata goli Moja hii mechi wanashinda
  4. O

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Capt. Traore azuia Shariah law, awazuia Imams wote walio enda kusoma Saudia kurudi Burkina Faso

    Tafsiri Yako sio sahihi. Amesema hao wanaosoma Sharia law warudishwe bukina Faso watakaogoma ndio watavuliwa uraia ...yaani mpaka hapo ushapotosha watu wengi sana next time kuwa makini
  5. O

    JamiiForums Tanzania Kwa kinachoendelea kwa Madiba ni dhahiri kuwa Afrika imejaa laana

    Kuwapigania ndio isiwe sababu ya kuanzia kuwauzia madawa ya kulevya na kuwaibia ...nchi Yao mmegeuza km soko mmejazana mpaka wenye nchi hawapumui mnafanya uhalifu mmejazana kwenye jela zao mnakula Bure hospital mmejazana mpaka wenyeji wanakosa vitanda, mmegeuza watoto wao wamekuwa mateja...
  6. O

    JamiiForums Tanzania Kwa kinachoendelea kwa Madiba ni dhahiri kuwa Afrika imejaa laana

    Ila kiukweli south Africa wageni walikuwa wamejazana kupita kiasi yaani ilikuwa kero sana kwa wenyeji
  7. O

    JamiiForums Tanzania Iran imeshinda Vita lakini Mojtaba Khamenei hatahudhuria mazishi ya Babaake. Inakupa ujumbe gani?

    Unajifanya upo neutral ila maandishi Yako yanakusaliti ...Kuna unafiki mwingi sana kwenye post zako
  8. O

    JamiiForums Tanzania Iran imeshinda Vita lakini Mojtaba Khamenei hatahudhuria mazishi ya Babaake. Inakupa ujumbe gani?

    Chuki za kidini ni hatari kwa mustakabali wa amani ya Dunia! Mleta mada andiko lako umeliandika kwa mlengo wa kidini ingawa umejitahidi kujificha ila wenye d 3 tumegundua
  9. O

    JamiiForums Tanzania Nilishawahi kuleta mada kuwa balozi za tanzania hakuna msaada watakao kupa.Ukipata tatizo pambana wewe mwenyewe.

    South Kuna watanzania wengi TU wanafanya shughuli halali za kujiingizia kipata. Wote sio wezi na wauza madawa
  10. O

    JamiiForums Tanzania Biashara ya maduka (Frame) ni kuwanufaisha wenye maduka tu. Je, wenye mitaji midogo wakimbilie wapi?

    Siku bongo tukiwa na online business km vile Alibaba wenye fremu watalia na kusaga meno
  11. O

    JamiiForums Tanzania Wakuu msaada tutani kuhusu video downloader

    Shukrani mkuu
  12. O

    JamiiForums Tanzania Wakuu msaada tutani kuhusu video downloader

    Wakuu naombeni msaada wa video downloader ambayo isio ya kulipia maana nimejaribu kulipia snapany inakuwa inakataa ...ningefurahi zaidi kupata ya ku copy na ku paste link .... shukrani
  13. O

    JamiiForums Tanzania HOJA RC Mwanza, Said Mtanda, Kwa Huu Ukosefu wa Maji Wiki Zaidi ya 2 Hustahili Kuendelea Kuwa Kazini. Wajibika

    Hapo ishu unakuta mzabuni ana supply vifaa ana malimbikizo ya hela nyingi anazowadai unakuta amegoma kusupply
Back
Top Bottom