Masikini, unavyoandika utafkiri sifa. Utalipwa tu, zinaa Ni Deni lazima ulilipe. Watoto wako wa kike, mkeo hata dada zako. Tena watafanyiwa wakiwa bado Ni watoto wa miaka 10
Mmmmh hapana... Wewe sio jobless hata kidogo. Wewe hutaki kufanya kazi. Hela za bando kujiunga mitandao yote hio ya kijamii na kuangalia porn unazo Ila za kijibiashara kidg huna.una hela Hadi za kutafuta madada poa lakin unalalamika huna ajira. Em tuache tusio na ajira tucomment. Ambao tunaweka...
Mmmmh hapana... Mazoea km haya huwa yanakuja na jinsi mtu unavyojiweka. Ulikaribisha mazoea mwenyewe... Yani mtu atoke na jisufuria lake aje apashie kwako??? Weeeh. Sijipati bado.
Hauna tatizo lolote, you are very okay... Mimi na wewe tunafanana. Halafu ukiwa mtu wa aina yetu sijui ndo hivi visa unakutana navyo Sana hata siielewi... Unapita zako barabarani, Mara unaona mbwa anakatisha, Mara hee anatokea mtu mzima haswa anaokota jiwe anampiga mbwa. Hapo huwa sijali Yani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.