Dawa ndogo sana, choma tairi la baiskel au piki piki paka paka bandani hawez sogea, nyoka na tairi iliyoungua n mbali mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu moja inaitwa ng'ong'ona karbu na UDOM kule COED panafaa sana. Utapiga pesa sana wanachuo kibao. Utakuja kunishukuru baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Minada ya katavi huwaga kila tarehe furan kwa mwezi eneo fulan,
Changamoto zlizopo huko n usafri kutoka kijiji kimoja kwenda kingine hasa vijiji Ambavyo haviko karb na barabara kuu za kuunganisha mikoa. Biashara nzuri n kipnd cha msimu Wa kiangaz utapga pesa uchanganyikiw mwez Wa 5 mwishon - Wa...
Mbongo kuonyesha alichofanikiwa watu waige ni Noooo lakin alipofeli anaeleza bayana. Teh teh. Tuonyeshe hyo fursa bhna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarin wana ndugu,
Mimi n mkulima Wa mda sasa Wa mboga mboga na matunda, nna experience ya kilimo cha tikit maeneo tofauti (nmewahi kulima katavi baadae nkahamia Zanzibar).
Npo pwani kwa sasa, nmeyumba kifedha kiasi, nahitaji mtu alie interested na kilimo hiki aweze tuungane kufanya kazi...
Acha tabia za kukatisha tamaa watu, hiyo laki na nusu ni mtaji mkubwa sana, inategemea upo maeneo gan, kuna sehem kuku hununuliwa had 5000, so kwenye 15000 kuna kuku wangap?, hata akichukua Wa 10 10 kuku 12 akabakisha 30 ya kusafrsha mjin akawauza 15 hajapga pesa? Mtaji sio had mamilion mzee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.